Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 2,981
- 7,072
Mimi nadhani dc anataka kuwaonea hawa wadada.. mwambieni aache mara moja. Asipoangalia tutamdaka akitoka madarakani kwa kesi za unyanyasaji. Hatushindwi kutafuta vielelezo vya yeye kuwakamata na kuwatumia kwa faida zake kisha kuwaachia kama wafanyavyo polisi kwenye miji mikubwa. Aache mara moja atafungwaaaaa!!!!