Tanga: DC aagiza polisi kukomesha ukahaba

Mimi nadhani dc anataka kuwaonea hawa wadada.. mwambieni aache mara moja. Asipoangalia tutamdaka akitoka madarakani kwa kesi za unyanyasaji. Hatushindwi kutafuta vielelezo vya yeye kuwakamata na kuwatumia kwa faida zake kisha kuwaachia kama wafanyavyo polisi kwenye miji mikubwa. Aache mara moja atafungwaaaaa!!!!
 
Hivi huyo dc anafahamu faida za kuwepo kwa makahaba katika jamii? Makahaba wanafaida sana waachwe tu na huduma zao zitambuliwe
 
Waache watu wakulane shida iko wapi au nao genye zimewabana wanaona wanaifadi?
Machinga wanafukuzwa wanachafua miji sasa na hao dada poa wanachafua miji kwa kumwaga sperms au ndomu?
Waache hizo aisee!!
 
Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.

DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.

"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.

Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.

"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.

Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
anataka ukahaba ukimeshwe? sishabikii ukahaba na siungi mkono ukahaba lakini amesahau kuwa hao anaowaona mitaani ni mahakaba masikini na madhara yao ni madogo. kuna makahaba huku maofisini, hao wanawake wanaojifanya wasafi na wasomi, wanauza miili yao kuliko hata hao. ukiona mtu anajitembeza barabarani ni kahaba masikini hana namna.

hao hao wanawake wanaojifanya wazuri wa mjini na wasomi, ukishika namba yake amesevu majina rundi ya wanaume wa kuwapanga. A1, A2, A3............, B7..........Z....., mara fundi nguo, fundi bomba, fundi gereji, fundi ujenzi, bajaj, boda, taxi kariakoo, taxi sinza, taxi ubungo......, fundi computer, fundi simu....etc. hao mafundi wote wana professions zao hata sio mafundi wala nini. zamani zangu za ujinga, niliwahi fumania simu ya kibenten mmoja, hadi stim ziliisha. ni hatari. wanaume tunapanga, ukiona hasa weekend anakwambia atafua nguo hadi saa kumi na mbili, jua mwingine amemwambia atafua hadi saa kumi, mwingine hadi saa tisa, mwingine hadi saa saba, mwingine hadi saanne, na wanajua kuchunga mda hao, muda ukifika anakwambia anawahi nyumbani mamake anamuhitaji kumbe anawahi foleni.
 
Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.

DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.

"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.

Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.

"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.

Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
Nadhani kuna changamoto nyingi zinazowakabili wakazi wa Tanga. Hii si priority. Na log off
 
Nadhani kuna changamoto nyingi zinazowakabili wakazi wa Tanga. Hii si priority. Na log off
ukahaba ni kitu kibaya, lkn DC kama ni mwanaume awe wa kwanza kurusha jiwe kama hajawahi kuwanunua maishani mwake.
 
Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.

DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.

"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.

Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.

"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.

Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
mh!!!! hao wanawake wa tanga ndo masupastaa wa dizaini zote za ngono. Hakuna ngono wasioiweza. Hawachagui aina ya ngono, kwao ngono ni kama msosi.
 
Ndoa yangu imeimarika baada ya kuweka dozi kwa madada poa. Huwa naenda kuosha rungu kila wiki mara mbili. Hata bajeti nilishaweka kabisa sh 40 elf kwa mwezi kiroho safi. Ukimwi ukija ntameza dawa na kinga ikiporomoka zaid nakufa. No tatz
Duuuh..ila watu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu wa wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuhakikisha biashara ya madanguro maarufu kama madada poa inakoma mara moja Jijini humo.

DC Mganndilwa alitoa agizo hilo wakati wa kikao cha cha baraza la madiwani wa halamashauri ya jiji la Tanga ambapo aliyataja maeneo hayo kuwa ni Sabasaba na barabara ya Uhuru na kusema kuwa wanaofanya biashara kwenye maeneo hayo watafute miji mingine.

"Kuna maeneo kwetu sisi bado kuna, madanguro ambayo dada zetu wanajiuza naomba nitumie hadhara hii kwakuwa vyombo vya dola vipo hapa niwaombe tuanze kushughulika na hawa watu natamani tuone mji wetu unakuwa safi hatutaki kuona hizi biashara za kujiuza jeshi la polisi wakati nikifanya opereshen zenu basi mshughulike na watu hawa, "alisistiza DC Mgandilwa.

Katika hatua nyingine Mgandilwa amesema pamoja na hayo analipongeza jiji hilo kwa kuweza kutatua migogoro mbalimbali ya ardhi na kutaka kuwalipa fidia wananchi ambao bado wana migogoro ya fidia zao lengo ni kuondokana na migogoro isiyokuwa na lazima.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Abdulrahman Shiloo amewataka wakuu wa idara kuheshimu maamuzi yanayofanywa na baraza la madiwani ili kuepukana na migongano isiyokuwa ya lazima inayoweza kukwamisha jitihada za maendeleo kwenye jiji hilo.

"Nitoe angalizo kwa wakuu wetu wa idara na watumishi wote wa halmashauri wapatao 3000 waelewe kwamba kikao cha mwisho chenye maamuzi katika jiji hili ni baraza la madiwani hivyo wasijaribu wala wasiwaze kujikweza kimadaraka hakikisheni sheria kanuni taratibu na miongozo zinafuatwa ili tusifikie kwenye migongano, "alisistiza Meya Shiloo.

Mkurugenzi wa jiji la Tanga Spora Liana amesema Halmashauri hiyo itatoa taarifa ya kila matumizi ya fedha yanayofanywa kwa wananchi lengo ni kuweka wazi kwa kila mwananchi kufahamu fedha za maendeleo zinazotolewa kwenye maeneo yao.
Mkuu kasahau kuwa ukahaba ni moja ya biashara za kale zaidi duniani, hata Yesu na Mwamedi walizikuta na kuziacha.
 
Idara za serikali Tanga zinanuka ngono. Imefikia hatua kuna mteule mmoja alipandishwa cheo kua mkurugenzi,aliondoka na mtumishi mwenzake ambaye alikua akifanya nae kazi ofisi moja Tanga jiji.
Alianza kumtenganisha dada huyo na mumewe na akafanikiwa. Watumishi hao waliokua ofisi moja walitia fora kwani ngoma ilikua inajulikana hadi kwa Afisa Elimu Sekondari,kwa mkurugenzi na tume ya utumishi wa walimu. Ila hakuna hatua zilizochukuliwa zaidi ya mtu huyo kupata uteuzi.
Ngono Tanga jiji kwa watumishi nimashindano yasiyokoma. Mkurugenzi aliyepumzishwa ndio alikua kiranja wao. Yule mzee bora ameondolewa,nibingwa wa aina zote za rushwa maana akimtaka mke wa mtu mumewe kazi ilikua mashakani
 
Kwa namna utelezi ulivyokuwa wa shida wajiandae kupokea kesi za kufanya mapenzi na Mbuzi
 
hii biashara si itengenezewe utaratibu tupate kodi huko..........sijui TUNAKWAMA wapi........biashara ipo na inafanyika...wateja kibao...why tusikusanye KODI........??????
 
Hii biashara ipo tangu enzi za Yesu, kuna mambo mengine huwa yanaachwa yalivyo maana ni part ya natural order.
Huwezi kuacha tuu hivi hivi,maana yake ni kwamba itageuka kuwa ni utaratibu.Hii inatakiwa iendelee kukemewa kwa nguvu zote
 
Manispaa ya TANGA enzi zile walitenga maeneo ya kufanyia hiyo biashara na ilikua haikwazi yoyote ambae hahusiki.
Kulikua na barabara ya kwanza karibu na reli, barabara ya nane kwa barabara ya Makoko na makao makuu ilikua Ni Mabawa nyuma ya wanapochomewa wahindi.
Huu utaratibu ungeendelezwa Wala mkuu asingejua kwamba Kuna kahaba TANGA. Ni wahitaji tu ndio walikua wanajua pakupatia huduma hii nyeti.
 
Back
Top Bottom