Tanga: Basi la Kilimanjaro lapata ajali Mkata

Tanga: Basi la Kilimanjaro lapata ajali Mkata

Mabasi yenyewe ambayo mengi wamiliki wanunua malori kwanza ya 7.5 tonnes yaliyotumika wanachukua chassis na kutengeneza bodi wao wenyewe halafu dereva anataka awakimbize njiani, ni kama suicide mission tu. You hope hakuna aliepoteza maisha
 
Halafu mvua hizi kunakuwa na utelezi ,
Kwanini wasiende mwendo wa usalama hata 50KPH walau inakuwa na usalama au chini ya hapo ni salama zaidi
Halafu wafike mwaka kesho wanakokwenda sio?
 
Mpaka hapo nadhani hamna madhara makubwa yaliyotokea. Kwa picha hizo sijaona hata tone la tamu.

Tumshukuru mungu.
 
jamani nilidhani vidhibiti mwendo vinapunguza ajali but bado mabasi yanadondoka
Speed ya 80 kph siyo ndogo kwenye ajali. Naona utelezi au issue ya overtaking then katumbukia darajani. Ajali zipo na zitaendelwa kuwepo. Halafu leo Jumapili mabasi yanajiachiaga sana.
 
Mabasi yenyewe ambayo mengi wamiliki wanunua malori kwanza ya 7.5 tonnes yaliyotumika wanachukua chassis na kutengeneza bodi wao wenyewe halafu dereva anataka awakimbize njiani, ni kama suicide mission tu. You hope hakuna aliepoteza maisha
Kwa hili hapana. Ni Scania tena Marcopollo mkuu. Ajali ni ajali. Uzembe kidogo tu ni kasheshe. Either alikwepa mtu anaovertake au yeye mwenyewe aliovertake. Au kafunga brake za ghafla na lami imelowana na mvua
 
Kwa hili hapana. Ni Scania tena Mrcopollo mkuu. Ajali ni ajali. Uzembe kidogo tu ni kasheshe. Either alikwepa mtu anaovertake au yeye mwenyewe aliovertake. Au kafunga brake za ghafla na lami imelowana na mvua
Inaweza kuwa hilo Scania la kweli, hila mimi binafsi miaka ya nyuma nishampeleka Sawaya (mmiliki wa kilimanjaro) alipokuja kijijini kwetu kwenda kununua malori ambayo anampango wa kuyageuza mabasi.
 
Mabasi yenyewe ambayo mengi wamiliki wanunua malori kwanza ya 7.5 tonnes yaliyotumika wanachukua chassis na kutengeneza bodi wao wenyewe halafu dereva anataka awakimbize njiani, ni kama suicide mission tu. You hope hakuna aliepoteza maisha
Hii ndyo sababu ya ajari au unataka kujifanya mjuaji!

Nenda kenya uone mabus ya kuchonga. Almost 80% ni mabus ya kuchonga body.
 
Polen sana wandugu mwenyezi Mungu awajalie wote watoke salama
 
Back
Top Bottom