Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Nimeachana na hii thread kwa sababu kuna watu inaonekana wana maslahi binafsi ya kutengeneza hizo body au na wao wanabasi.Nimemshangaa sana anapoongelea kuchonga basi anahisi kuna mabasi yanazaliwa tu bila kuchongwa... Na akumbuke hapo inaonekana kabisa hiyo hiyo ni Scania Marcopolo.. Sasa sijui huku kwetu kiwanda cha kuchonga hilo bodi kimeanza lini! Ni ujuaji mwingi hadi aibu
Lakini trust mwenye hayo mabasi nilikuwa namjua vizuri sana miaka ya nyuma ni tajiri mmoja simple ambae alikuwa akinielezea vizuri sana kuhusu hiyo shughuli mi mwenyewe nilikuwa namtamfutia matanker ya maziwa na kumpeleka kununua akabebe mafuta Tanzania inaruhusiwa. Maana ya mafuta yenyewe bei zake alikuwa anaziogopa.
Ndio maana naona niachane na sina sababu ya kujibizana isitoshe mimi nilikuwa naangalia in terms of science nyie mnaongelea maswala ya mabodi tu; halafu lengo si kuleta ujuaji ni kuulizana stability ya hayo mabasi barabarani yanapokuwa speed, that is important in physics.