Juzi nilikuwa kijiweni na njagu fulani,akilalamika kwa nini anaishi uswahilini na kulipa bili ya umeme kubwa,tena alfu thenashara tu(12,000)kwa mwezi,akasema ni afadhali angebaki kota ili atumie kila kitu bwerere.TANESCO ipo kwa maslahi ya wachache serikalini.Tuombe Dua uko mbeleni yaingie mashirika mengi ya umeme kama haya ya simu ili tuwahukumu vema.Hapo hata luku zitauzwa uswazi kama vocha wala hutakuwa na haja ya kupanga foleni hadi saa 3 usiku.