Tumepokea taarifa ya hali ya bajeti yetu. Tumekumbwa na matatizo mawili ambayo 'hatukuyategemea'. Umeme na Upungufu wa Chakula. Hatukutegemea mvua zitakuwa haba. (Kufeli kwa wanafunzi tulitegemea ndio maana hatujaomba kusaidiwa).
Tumeomba msaada kwa wahisani. Tunasubiri majibu.
WanaJf, wakati tunasubiri wahisani watusaidie tufanyeje? Hakuna umeme, njaa inatunyemelea! Lets talk constructively about this.
Wenzetu wanafanyaje? Wametatuaje haya matatizo?
In the meantime, MwanaJf, change ur working times kama unaweza. Was happy to see mafundi welding na vinyozi working at night!