TANESCO yaamriwa kuzima umeme

huku kwetu mitaa ya ubungo tabata na sehemu za makoka umeme umekatika.hivi hawa tanesco kukata umeme wanamaanisha nini? wanataka sisi tusisikie na kuona hiyo taarifa au lengo lao ni nini na kwanini wanapenda kutumika kisiasa kiashi hicho? yani wanakera na wanaudhi watu afu wajue kuna watu wengine wameacha shughuli zao ili wapate kusikia na kutazama hayo mambo.
 
huku kwetu mitaa ya ubungo tabata na sehemu za makoka umeme umekatika.hivi hawa tanesco kukata umeme wanamaanisha nini? wanataka sisi tusisikie na kuona hiyo taarifa au lengo lao ni nini na kwanini wanapenda kutumika kisiasa kiashi hicho? yani wanakera na wanaudhi watu afu wajue kuna watu wengine wameacha shughuli zao ili wapate kusikia na kutazama hayo mambo.
Du yani umeacha shughuli zako kwa ajili ya kuangalia ripoti ya bunge? No wonder hii nchi umaskini umetamalaki
 
huku kwetu mitaa ya ubungo tabata na sehemu za makoka umeme umekatika.hivi hawa tanesco kukata umeme wanamaanisha nini? wanataka sisi tusisikie na kuona hiyo taarifa au lengo lao ni nini na kwanini wanapenda kutumika kisiasa kiashi hicho? yani wanakera na wanaudhi watu afu wajue kuna watu wengine wameacha shughuli zao ili wapate kusikia na kutazama hayo mambo.

Kawe pia hakuna umeme just now wamekata
 
Japo nimejitahidi kurudi mapema kuona madudu yaoiyofanywa kwenye report ya escrow itakayo wasilishwa jioni ya leo bungeno dodoma lakini tanesco nao wamekata umeme. Je wana agenda gani na hili. Jamani wadau nani anaweza kuwaambia waturudishie umeme huku kwetu tabata.
 
Jamani wadau huku kwetu hatuna umeme. Tanesco wana agenda gani na kutubania uhuru wa kuona maovu ya wezi wetu idodoma jioni hii kwenye uwasilishaji wa report ya escrow.
 
John Mnyika toa raarifa bungeni kuwa meoneo mengi Tanzania hayana umeme hivyo kuwafanaya wananchi wengi kukosa haki yao ya msingi ya kufuatilia majadala muhimu wa kitaifa.
 
Last edited by a moderator:
Tanesko mbona munatufanyia mambo ya ajabu. Muda wa kujua Mafisadi mnatukatia umeme.please rudisheni umeme watanzania wajue Tumbili ni nani? na Mwizi ni nani pale bungeni
 
Ndg wanajamiiforum...
Hivi hii nchi vip..
Hapa kinondoni hakuna umeme wakati wanajua mafisadi wanasomwa saa moja lijalo.

My take.
Je ni redio gani watarusha live jamani..nisikilize hata redio kwa battery.

Nisaidien nataka kuijua familia ibayolipwa milion 100 kwa siku hadi hapo 2035..
Takriban bilion 600 na ushee tsh.
Alafu vijana wa lumumba wanawatetea ccm...
 
Jana kabla na wakati wa mjadala wa mzee wetu mtukufu Warioba umeme ulikatwa karibu maeneo mengi ya hapa arusha na pengine na mikoa mingine na baadae ukarejeshwa baada ya mdahalo kumalizika. Leo tena tumekatiwa maeneo mengi ya arusha na moshi nadhani utarejeshwa baada ya kikao cha bunge au utarudi baada ya kikao cha bunge. Maswali yangu ni kwamba mbona hatujasikia tamko lolote toka Tanesco kuhusu hitilafu popote?Sio haki ya mlaji kupata taarifa kuhusu huduma muhimu kama umeme?hii hasara ambayo shirika letu la umma linapata nani anayelipa?is this happening by accident or design?
 
Back
Top Bottom