The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Tanesco ni kama ugonjwa wa moyo tu
hivi huwa ni mgao wa umeme au hujuma ya nishati?
Nilichokupendea Ngeleja ni pale ulipoongea kwa msisitizo kua unataka Tanesco wawe wanatoa taarifa endapo kutakua na Mgao wa umeme kwa wananchi na sio kukaa kimya! BRAVO SANA!:whoo:
Source: TBC1
mgao wa Umeme umekwisha na hautarudia tena. Amelishuhulikia tatizo kisha akatutaarifu. Mawaziri wengine walioingia kwa mbwembwe vipi?
Tanesco wasitisha mgawo wa umeme
Just spoken to my friends in Mwanza wapo gizani kama kawa..... au Dar ndio Tanzania......
Just spoken to my friends in Mwanza wapo gizani kama kawa..... au Dar ndio Tanzania......