Acheni uongo mbona sisi tuna umeme Dar Mikocheni Kinondoni Msasani kote huko nimepita umeme upo kanunue Luku
Wewe uko kwa Warioba mzee MWENYE ndimi mbili umeme lazima uwepo. Lakini kwa wapumbavu na malofa Umeme umekatwa!
Acheni uongo mbona sisi tuna umeme Dar Mikocheni Kinondoni Msasani kote huko nimepita umeme upo kanunue Luku
Maeneo ya moshi mjini umeme umekatwa tangia saa 3 asubuhi. Umeme umekatwa jijini dar es salaam, na maeneo mengi nchini.
Yote hii ni hujuma na mwendelezo ule ule wa kuinyonga demokrasia na kuwafanya watanzania kuwa watumwa miaka yote.
Maeneo ya moshi mjini umeme umekatwa tangia saa 3 asubuhi. Umeme umekatwa jijini dar es salaam, na maeneo mengi nchini.
Yote hii ni hujuma na mwendelezo ule ule wa kuinyonga demokrasia na kuwafanya watanzania kuwa watumwa miaka yote.
Maeneo ya moshi mjini umeme umekatwa tangia saa 3 asubuhi. Umeme umekatwa jijini dar es salaam, na maeneo mengi nchini.
Yote hii ni hujuma na mwendelezo ule ule wa kuinyonga demokrasia na kuwafanya watanzania kuwa watumwa miaka yote.
Acheni kulalamika kama vile ni kitu kipya umeme kukatika,,,, tatizo lenu hata matangzo ya Tanesco huwa hamsikilizi mnabaki kulalamika tu Eti ccm wamekata umeme, kwani umeambiwa kinana ndo mnager mkuu wa Tanesco au Nape? Je mnajua Tanesco wanafanya nini for the last two week hadi October au ndo mnabwabwaja tu? Hamjaona umeme ukikatika mara kwa Mara (tofauti na miezi iliyopita) kwa wiki chache zilizopita, Mbona hamkulalamika? As far as I know Tanesco Wapo kwenye transmission na majaribio ya matumizi ya umeme wa Gas, suala la kulalamika hapa ni Kwanini Tanesco wachague kipindi cha kampeni kubadilisha mfumo wao wa umeme wa mafuta na ku test umeme wa Gas.
Haya malofa msikilizeni raisi wenu lofa kwenye radio (hii ni kwa mujibu wa mc, aliyetangza kuwa anawashukuru malofa kwa kwenda kwa wingi uwanjani na Leo raisi wa malofa atawahutubia malofa wenzake), me sio lofa so Rais wangu Magufuli #HapaKaziTu
Kahama pia umekatwa mda sio mrefu sijui tukaonee mafuriko wapi?