TANESCO, Wakala hataki kuniuzia umeme bila kitu kidogo kwanza!

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,670
22,259
Katika haki isiyo ya kawaida ninapotaka kununua umeme kutoka kwa mawakala ninalazimika kumhonga kiasi cha fedha kulingana na kiasi cha fedha ya kununulia umeme! Mimi hununua wa shs.elfusitini (60,000/=) hivyo mshiko wa wakala shs. Elfumoja na miatano ambazo natoa na sipewi risiti! Na kufanya jumla shs.61,500/= haki hii imejitokeza hivi karibuni. Je, kunanamna ambayo anaweza kununua umeme bila kuhonga kwanza? Hakuna wakala anayeweza kuniuzia bila kitukidogo kwanza.
 
Kwani huwezi kununua umeme kwa m pesa ama tigo pesa?
Au kwenye max malipo?

Sijaelewa bado.
For the past 4 year nanunua umeme kwa tigo pesa anytime
 
Katika haki isiyo ya kawaida ninapotaka kununua umeme kutoka kwa mawakala ninalazimika kumhonga kiasi cha fedha kulingana na kiasi cha fedha ya kununulia umeme! Mimi hununua wa shs.elfusitini (60,000/=) hivyo mshiko wa wakala shs. Elfumoja na miatano ambazo natoa na sipewi risiti! Na kufanya jumla shs.61,500/= haki hii imejitokeza hivi karibuni. Je, kunanamna ambayo anaweza kununua umeme bila kuhonga kwanza? Hakuna wakala anayeweza kuniuzia bila kitukidogo kwanza.
Sheee....mbona mpya hii kila mwezi nanunua umeme na tigopesa kunani kwako mwenzetu.
 
Kwani huwezi kununua umeme kwa m pesa ama tigo pesa?
Au kwenye max malipo?

Sijaelewa bado.
For the past 4 year nanunua umeme kwa tigo pesa anytime
Karibu Mbagala ushuhudie, Siku za nyuma hatukuwa na tatizo hivi sasa mawakala wanadai hawapewi mgao wao inamaana Tanesco inachukua pesa yote hivyo na wao wameamua kuwatoza wateja.
 
Katika haki isiyo ya kawaida ninapotaka kununua umeme kutoka kwa mawakala ninalazimika kumhonga kiasi cha fedha kulingana na kiasi cha fedha ya kununulia umeme! Mimi hununua wa shs.elfusitini (60,000/=) hivyo mshiko wa wakala shs. Elfumoja na miatano ambazo natoa na sipewi risiti! Na kufanya jumla shs.61,500/= haki hii imejitokeza hivi karibuni. Je, kunanamna ambayo anaweza kununua umeme bila kuhonga kwanza? Hakuna wakala anayeweza kuniuzia bila kitukidogo kwanza.
Ndugu mpendwa mteja wetu. Kwanza tunakupa pole sana kwa usumbufu huo uliojitokeza.Tunashukuru sana kwa taarifa pamoja na hilo tunakusihi usikubali kulipa pesa yeyote ya ziada ambayo haitokei kwenye resiti.endapo utapata usumbufu wowote tujulisha eneo,wakala na namba yako ya simu.aidha tunakushauri kutoa taarifa polisi kwani nikinyume na sheria kwani kila malipo yanapaswa kuwa na risiti au stakabadhi
 
Ndugu mpendwa mteja wetu. Kwanza tunakupa pole sana kwa usumbufu huo uliojitokeza.Tunashukuru sana kwa taarifa pamoja na hilo tunakusihi usikubali kulipa pesa yeyote ya ziada ambayo haitokei kwenye resiti.endapo utapata usumbufu wowote tujulisha eneo,wakala na namba yako ya simu.aidha tunakushauri kutoa taarifa polisi kwani nikinyume na sheria kwani kila malipo yanapaswa kuwa na risiti au stakabadhi
Acheni vitisho vya polisi sijui nini. Shughulikieni mzizi wa tatizo.
Hapo juu kuna mtu kachangia kua hamuwapo mawakala commission je ni kweli? Na km ni kweli anzieni hapo kwanza vitisho havisaidii
 
Ndugu mpendwa mteja wetu. Kwanza tunakupa pole sana kwa usumbufu huo uliojitokeza.Tunashukuru sana kwa taarifa pamoja na hilo tunakusihi usikubali kulipa pesa yeyote ya ziada ambayo haitokei kwenye resiti.endapo utapata usumbufu wowote tujulisha eneo,wakala na namba yako ya simu.aidha tunakushauri kutoa taarifa polisi kwani nikinyume na sheria kwani kila malipo yanapaswa kuwa na risiti au stakabadhi
Mawakala wote waliopo nje ya ofisini yenu ya Tanesco Mbagala Charambe na Rangitatu wote ni hivyo hali ambayo zamani haikuwepo mpaka pale mlipobadili mfumo wa malipo; Tatueni tatizo, tokeni nje ya ofisini yenu Mbagala muone tatizo, hakuna chajuu hakuna Luku.
 
hata ukinunu umeme wa sh 60000 kwa mpesa utakatwa iyo 1500 naito onekana kwenye mwamala
 
Mawakala wote waliopo nje ya ofisini yenu ya Tanesco Mbagala Charambe na Rangitatu wote ni hivyo hali ambayo zamani haikuwepo mpaka pale mlipobadili mfumo wa malipo; Tatueni tatizo, tokeni nje ya ofisini yenu Mbagala muone tatizo, hakuna chajuu hakuna Luku.
Siyo mbagala peke yake hata huku mwenge kuna wakala ukinunua umeme anakwambia anataka na ela ya kutolea risiti.pesa anayokata yeye hata mpesa na tigo pesa hawaikati imeshakua kero sahivi
 
Katika haki isiyo ya kawaida ninapotaka kununua umeme kutoka kwa mawakala ninalazimika kumhonga kiasi cha fedha kulingana na kiasi cha fedha ya kununulia umeme! Mimi hununua wa shs.elfusitini (60,000/=) hivyo mshiko wa wakala shs. Elfumoja na miatano ambazo natoa na sipewi risiti! Na kufanya jumla shs.61,500/= haki hii imejitokeza hivi karibuni. Je, kunanamna ambayo anaweza kununua umeme bila kuhonga kwanza? Hakuna wakala anayeweza kuniuzia bila kitukidogo kwanza.
NUnua kwa simu
 
Ndugu mpendwa mteja wetu. Kwanza tunakupa pole sana kwa usumbufu huo uliojitokeza.Tunashukuru sana kwa taarifa pamoja na hilo tunakusihi usikubali kulipa pesa yeyote ya ziada ambayo haitokei kwenye resiti.endapo utapata usumbufu wowote tujulisha eneo,wakala na namba yako ya simu.aidha tunakushauri kutoa taarifa polisi kwani nikinyume na sheria kwani kila malipo yanapaswa kuwa na risiti au stakabadhi
Sasa vitisho vinasaidia nini wakati mnajua hata kwa simu wanakata cha juu? Ilo liko wazi sasa ivi amuwalipi hao wenye vimashine vya max sasa mnategemea wanaendesha vp iyo biashara ya kuuza umeme
 
Back
Top Bottom