Indume
Member
- Apr 11, 2011
- 81
- 36
Hii ofisi ya TANESCO Nyamagana ni wabovu kiutendaji.
Kuanzia kitengo cha huduma kwa Wateja; Mafundi na Uongozi mzima wa hiyo ofisi. Mteja akiwa na fault ukitoa taarifa inazidi masaa 48 na bado tatizo la mteja halitatuliwi.
Hata ukiomba namba za mafundi hupewi na hata Meneja hawataki kutoa namba zake. Wananchi wanakoswa sehemu ya kutoa malalamiko yao.
Hii inasababisha Serikali kukosa mapato maana Luku hainunuliwi na pia shughuli za Mteja hukwama kusababisha uzalishaji kutokuwepo (mteja hukwama kuzalisha bidhaa na mauzo hupunhua na kodi kwa serikali hukosekana).
Ningeshauri wizara inayohusika iimike TANESCO Nyamagana.
Mbona TANESCO wilaya zingine ulitoa tu taarifa mafundi wanafika ndani ya muda mfupi?
Kuanzia kitengo cha huduma kwa Wateja; Mafundi na Uongozi mzima wa hiyo ofisi. Mteja akiwa na fault ukitoa taarifa inazidi masaa 48 na bado tatizo la mteja halitatuliwi.
Hata ukiomba namba za mafundi hupewi na hata Meneja hawataki kutoa namba zake. Wananchi wanakoswa sehemu ya kutoa malalamiko yao.
Hii inasababisha Serikali kukosa mapato maana Luku hainunuliwi na pia shughuli za Mteja hukwama kusababisha uzalishaji kutokuwepo (mteja hukwama kuzalisha bidhaa na mauzo hupunhua na kodi kwa serikali hukosekana).
Ningeshauri wizara inayohusika iimike TANESCO Nyamagana.
Mbona TANESCO wilaya zingine ulitoa tu taarifa mafundi wanafika ndani ya muda mfupi?