Tanesco ni kama kinyonga........mnatia kichefu chefu

fikirini

Senior Member
May 24, 2011
114
22
Wana Jf asalamaleykum. Hawa TANESCO kila siku mabadiliko tu yasiyo na tija bali ni ya umahiri wa kubooresha makali ya umeme, hakuna kipya....hata kinyonga japo hubadilika rangi ila ni kwa malengo na tija pia ni kwa manufaa ya maisha yake hasa pale hatari inapokuwa mbele yake. Kwa TANESCO Hakuna ubunifu, kweli hiki ni kichefuchefu. Hii inatokana na habari za kusikitisha kuwa shirika hilo limetangaza mgawo mkubwa wa umeme usio na kikomo, utakaokuwa kwa saa 10, siku saba kwa wiki nzima.Maafisa wa shirika hilo na Wizara ya Nishati na Madini wamesema mgawo huo umetokana na upungufu wa maji katika bwawa la Mtera na transfoma zake kuzalisha umeme mdogo kuliko mahitaji.Kwa mujibu wa tangazo la ratiba ya mgao huo lililotolewa na Tanesco jana, mgao huo utakuwa wa kati ya saa sita hadi 10 kwa siku ambapo maeneo yatabadilishana muda wa mgao. Hata hivyo, tangazo hilo la Tanesco limekuja wakati maeneo mengi nchini yakiwa na mgawo wa muda mrefu wakinyemela na ambao unachukua muda wa saa zaidi ya zilizotangazwa jana na shirika hilo hali inayosababisha malalamiko kwa wananchi na kupoteza imani na serikali iliyopo madarakani.

Sasa hii serikali na shirika lake, wanaona fahari gani kila siku kuwa wataalam tu wa kutoa ratiba za mgao, hivi utoaji wa huduma za umeme hatuwezi tukafanya kama makampuni ya simu.? Turuhusu ushindani katika sekta hii wadau.....alafu ndo tunaambiwa tudumishe amani. Ni amani gani hii ya kuumizana? Kutojaliana? Huu ni unafiki wa viongozi wetu....nini hatima ya kilio hiki wana JF?
 
Wana Jf asalamaleykum. Hawa TANESCO kila siku mabadiliko tu yasiyo na tija bali ni ya umahiri wa kubooresha makali ya umeme, hakuna kipya....hata kinyonga japo hubadilika rangi ila ni kwa malengo na tija pia ni kwa manufaa ya maisha yake hasa pale hatari inapokuwa mbele yake. Kwa TANESCO Hakuna ubunifu, kweli hiki ni kichefuchefu. Hii inatokana na habari za kusikitisha kuwa shirika hilo limetangaza mgawo mkubwa wa umeme usio na kikomo, utakaokuwa kwa saa 10, siku saba kwa wiki nzima.Maafisa wa shirika hilo na Wizara ya Nishati na Madini wamesema mgawo huo umetokana na upungufu wa maji katika bwawa la Mtera na transfoma zake kuzalisha umeme mdogo kuliko mahitaji.Kwa mujibu wa tangazo la ratiba ya mgao huo lililotolewa na Tanesco jana, mgao huo utakuwa wa kati ya saa sita hadi 10 kwa siku ambapo maeneo yatabadilishana muda wa mgao. Hata hivyo, tangazo hilo la Tanesco limekuja wakati maeneo mengi nchini yakiwa na mgawo wa muda mrefu wakinyemela na ambao unachukua muda wa saa zaidi ya zilizotangazwa jana na shirika hilo hali inayosababisha malalamiko kwa wananchi na kupoteza imani na serikali iliyopo madarakani.

Sasa hii serikali na shirika lake, wanaona fahari gani kila siku kuwa wataalam tu wa kutoa ratiba za mgao, hivi utoaji wa huduma za umeme hatuwezi tukafanya kama makampuni ya simu.? Turuhusu ushindani katika sekta hii wadau.....alafu ndo tunaambiwa tudumishe amani. Ni amani gani hii ya kuumizana? Kutojaliana? Huu ni unafiki wa viongozi wetu....nini hatima ya kilio hiki wana JF?

Si bora ingekuwa massa kumi. Mtaani kwetu ni masaa 24 hakuna umeme.
 
Wana Jf asalamaleykum. Hawa TANESCO kila siku mabadiliko tu yasiyo na tija bali ni ya umahiri wa kubooresha makali ya umeme, hakuna kipya....hata kinyonga japo hubadilika rangi ila ni kwa malengo na tija pia ni kwa manufaa ya maisha yake hasa pale hatari inapokuwa mbele yake. Kwa TANESCO Hakuna ubunifu, kweli hiki ni kichefuchefu. Hii inatokana na habari za kusikitisha kuwa shirika hilo limetangaza mgawo mkubwa wa umeme usio na kikomo, utakaokuwa kwa saa 10, siku saba kwa wiki nzima.Maafisa wa shirika hilo na Wizara ya Nishati na Madini wamesema mgawo huo umetokana na upungufu wa maji katika bwawa la Mtera na transfoma zake kuzalisha umeme mdogo kuliko mahitaji.Kwa mujibu wa tangazo la ratiba ya mgao huo lililotolewa na Tanesco jana, mgao huo utakuwa wa kati ya saa sita hadi 10 kwa siku ambapo maeneo yatabadilishana muda wa mgao. Hata hivyo, tangazo hilo la Tanesco limekuja wakati maeneo mengi nchini yakiwa na mgawo wa muda mrefu wakinyemela na ambao unachukua muda wa saa zaidi ya zilizotangazwa jana na shirika hilo hali inayosababisha malalamiko kwa wananchi na kupoteza imani na serikali iliyopo madarakani.

Sasa hii serikali na shirika lake, wanaona fahari gani kila siku kuwa wataalam tu wa kutoa ratiba za mgao, hivi utoaji wa huduma za umeme hatuwezi tukafanya kama makampuni ya simu.? Turuhusu ushindani katika sekta hii wadau.....alafu ndo tunaambiwa tudumishe amani. Ni amani gani hii ya kuumizana? Kutojaliana? Huu ni unafiki wa viongozi wetu....nini hatima ya kilio hiki wana JF?

Wa Tz mpaka tupigane ndio tutaheshimiana.
 
Wana Jf asalamaleykum. Hawa TANESCO kila siku mabadiliko tu yasiyo na tija bali ni ya umahiri wa kubooresha makali ya umeme, hakuna kipya....hata kinyonga japo hubadilika rangi ila ni kwa malengo na tija pia ni kwa manufaa ya maisha yake hasa pale hatari inapokuwa mbele yake. Kwa TANESCO Hakuna ubunifu, kweli hiki ni kichefuchefu. Hii inatokana na habari za kusikitisha kuwa shirika hilo limetangaza mgawo mkubwa wa umeme usio na kikomo, utakaokuwa kwa saa 10, siku saba kwa wiki nzima.Maafisa wa shirika hilo na Wizara ya Nishati na Madini wamesema mgawo huo umetokana na upungufu wa maji katika bwawa la Mtera na transfoma zake kuzalisha umeme mdogo kuliko mahitaji.Kwa mujibu wa tangazo la ratiba ya mgao huo lililotolewa na Tanesco jana, mgao huo utakuwa wa kati ya saa sita hadi 10 kwa siku ambapo maeneo yatabadilishana muda wa mgao. Hata hivyo, tangazo hilo la Tanesco limekuja wakati maeneo mengi nchini yakiwa na mgawo wa muda mrefu wakinyemela na ambao unachukua muda wa saa zaidi ya zilizotangazwa jana na shirika hilo hali inayosababisha malalamiko kwa wananchi na kupoteza imani na serikali iliyopo madarakani.

Sasa hii serikali na shirika lake, wanaona fahari gani kila siku kuwa wataalam tu wa kutoa ratiba za mgao, hivi utoaji wa huduma za umeme hatuwezi tukafanya kama makampuni ya simu.? Turuhusu ushindani katika sekta hii wadau.....alafu ndo tunaambiwa tudumishe amani. Ni amani gani hii ya kuumizana? Kutojaliana? Huu ni unafiki wa viongozi wetu....nini hatima ya kilio hiki wana JF?

waongo wanataka kuingia makataba mwingine,hiyo ni danganya toto,subilini mtaona kwani ule mkataba na symbion si waliingia kwa staili ya mgawo?


karibuni Welcome to the IHAM Solar Suppliers
 
Kweli kabisa nimesikia wanataka kuirejesha AGRECO ilete umeme August,yaani hii nchi ni ya raha sana.,huwezi kuamini kule Ruvuma wanasema mafuta yameisha wiki nzima wako gizani,juzi tuliambiwa maji machache,mvua zikanyesha badala yake wakasema sasa ni ubungo mitambo ya gesi inasafishwa,wakasema Symbion ndo suruhisho,sasa wanasema maji yameisha mtera suruhisho ni kurudi AGRECO

Tusipokuwa makini yale makampuni ya nyuma yatarudi upya kwa majina mapya,Network Group Solution,Richmond n.k,hii ni ajabu sana sahivi tunapigwa mgao mkubwa tofauti na mda wowote huko nyuma,huu wa sahvi ni funga kazi

Let's awake,demonstrations could make these people change the world,tuingie barabarani vinginevyo tunapewa adithi za abunuwasi
 
Nipo jirani sasa hivi na bwana Eng Mhando naona anaweweseka tu,nimemwambia aangalie jf jinsi watz wanavyochukizwa na shikirika hili mfilisi!!
 
NAICHUKIA SAN HII TANESCO, Just imagine saivi tunalipia huo umeme, je! ingekuwa vp kama ungekuwa wa bure? si tungelala na giza miezi hata sita???????// I hate this TANESCO
 
NAICHUKIA SAN HII TANESCO, Just imagine saivi tunalipia huo umeme, je! ingekuwa vp kama ungekuwa wa bure? si tungelala na giza miezi hata sita???????// I hate this TANESCO
Me too!!huo mgawo ni kwamba umetangazwa tu, lakin kama kuwepo mbona upo tu muda mrefu.kijitonyama toka walivyokata juzi usiku hawajarudisha mpaka leo
 
Back
Top Bottom