Huyo Badra Masoud alikuwa "AMELEWA" swaumu. Hakuna sheria/kitu kama hicho.
Kama kweli kipo aanze kuuza IKULU ya SMZ maana Zanzibar ndiyo mdaiwa namba moja SUGU. Akishamaliza akauze majengo wa Wizara ya ULINZI na JKT, akimaliza aende Majengo ya Wizara ya mambo ya NDANI. Akiwamaliza hao amfuate mama mchungaji Rwakatale auze St Marys zake, halafu ndiyo atugeukie sisi Wateja wadogo wadogo na tu-jumba twetu.
Huyo Badra Masoud anaongea kitu ambacho anajua kutoka moyoni hakitekelezeki! Sijui amefunga nini kuja kutulaghai Watanzania tena mbele ya Luninga!
Huyo Badra Masoud alikuwa "AMELEWA" swaumu. Hakuna sheria/kitu kama hicho.
Kama kweli kipo aanze kuuza IKULU ya SMZ maana Zanzibar ndiyo mdaiwa namba moja SUGU. Akishamaliza akauze majengo wa Wizara ya ULINZI na JKT, akimaliza aende Majengo ya Wizara ya mambo ya NDANI. Akiwamaliza hao amfuate mama mchungaji Rwakatale auze St Marys zake, halafu ndiyo atugeukie sisi Wateja wadogo wadogo na tu-jumba twetu.
Huyo Badra Masoud anaongea kitu ambacho anajua kutoka moyoni hakitekelezeki! Sijui amefunga nini kuja kutulaghai Watanzania tena mbele ya Luninga!
Waiuze St Mary's kwanza
Duh! Watu kwa kukurupuka bwana!