Kwanini wasitumie zile wanazowalipia Ma Director GYM kucover hizo cost?Elimu kwa umma si ipo kwenye bajeti?au kwao elimu kwa umma ni wao kusafiri?:A S embarassed:
Jamani juzi nilisema huu mtandao sasa unakusanya na kutumia wale wanofikiria kutumia masaburi, kwa Uzi huu imedhihirishwa unwell huu. Ewura hawana kitu kama hiyo na hata Tanesco hawajapeleka barua ewura maombi ya kitu Kama hicho. Kwa lifupi huu ni upumbavu mtupu nothing!