Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Asante kwa kuahidi mtafuatilia, naomba muangalie kama malalamiko yangu yapo kwenye file, ni mda mrefu nikisubiri mpaka ikaanguka
Ni Kinondoni ipi?Je ulipiga simu tarehe ngapi na muda gani tufatilieMajibu ya TANESCO yanatia matumaini utekelezaji sasa mmh
Ila sasa nawakubari kitu kimoja mkoa wa kinondoni mpo vizuri umeme ukikatika ile shoti nyumba hii inawaka nyingne haiwaki zote mtaa 1 haaa nikiwapigiaga faster mnatimba hatulalagi giza
Ongeleni kwa hilo hasa kuna kuna dada mmoja akipokea ana majibu mazuri sana
Ila kuna lidada limoja sijui linakuwa linalala usiku yaani kwanza simu itaita wee na akipokea mkatomkato majibu yake
Ila ongereni mmejirekebisha pakubwa changamoto ni chache naimani mtabadirika zaidi tunawapa muda wafanyakazi vimeo muwapige chini ili kuliletea HESHIMA shirika
Karibu sanaNashukuru leo 12/01/2021 nguzo moja mpya imewekwa na umeme unawaka. Nashukuru JF kwa msaada wenu
Basi mshughulikieni huyo dada aliye lalamikiwa iwe fundisho na kwa wengineTumepokea maoni yenu tumeshaanza kuyafanyia kazi kuhakikisha wateja wetu wanafurahia huduma zetu Nchi nzima