Ijumaa nilienda ofisi ya TANESCO kuulizia kama naweza kubadilishiwa matumizi ya umeme na kuwekwa kwenye matumizi madogo baada ya kutumia umeme wao kwa miezi mitatu toka nilipounganishwa na line yao.
Nikaambiwa kwamba kwa mjini hicho kitu hakipo, hiyo huduma ipo upande wa vijijini na kama ni mjini basi ni zile kaya masikini.
Je, kwanini hawatangazi wazi ili tujue? na kwanini Waziri Makamba alipinga Bungeni kwamba umeme haujapanda (au hicho kitendo sio kupanda)
Je, ina maana mtu anayetumia umeme majumbani hivyo atakuwa sawa na yule anayetumia umeme kibiashara(eg mwenye mashine ya kusaga?)
Hapa kumbe ni kuhamia tu kijijini ili mjini wabaki peke yao.
Nikaambiwa kwamba kwa mjini hicho kitu hakipo, hiyo huduma ipo upande wa vijijini na kama ni mjini basi ni zile kaya masikini.
Je, kwanini hawatangazi wazi ili tujue? na kwanini Waziri Makamba alipinga Bungeni kwamba umeme haujapanda (au hicho kitendo sio kupanda)
Je, ina maana mtu anayetumia umeme majumbani hivyo atakuwa sawa na yule anayetumia umeme kibiashara(eg mwenye mashine ya kusaga?)
Hapa kumbe ni kuhamia tu kijijini ili mjini wabaki peke yao.