vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,311
- 10,351
Kuna namna iliyobora...we have to explore that namna ila hakuna kinachofanikiwa chini ya serikali.Kubinafsisha ndio tulifeli toka awamu ya mwinyi na mkapa
ni bora twende hivi. Haya mashirika ukibinafsisha tu ndio yanakufa moja kwa moja. Tuliwahi kuwapa shirika Net group solution kwa lengo unalosema. Ila mwisho wa siku tulikoma.
Kama maharage kashjndwa kusimamia, basi tutafute mkurugenzi mwingine