Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Aise umesema kweliHao watumiaji wakubwa ndio wazalishaji wakuu wa bidhaa. Kuwaongezea gharama za umeme kutasababisha kupanda kwa gharama za bidhaa zao hali itakayowaathiri wananchi wa kawaida ambao ndio watumiaji wa mwisho. Serikali isimamie hilo kuhakikisha kuwa hakuna kupata kiholela kwa gharama za umeme