Pilato
Member
- May 29, 2008
- 60
- 1
Kumekuwa na matangazo mikoani ya nayohusu wananchi kujitokeza kwa ajili ya mdahalo au semina SEHEMU ELEKEZI, iliyoandaliwa na EWURA pamoja na TANESCO ili kujadili kuhusu ongezeko hilo la umeme ambapo mtangazaji husema mananeno yafuatayo,
''kutokana na kampuni ya TANESCO kuamua kuongeza bei ya umeme kwa 36%, hivyo basi EWURA wameona kabla ya ongezeko hilo ili wananchi nao watoe mchango wao kama wanakubaliana au la, kila mwananchi unaombwa ufike sehemu husika (ELEKEZI) kwa ajili ya kutoa mchango wako kaaribuni''
Ninachokiona hapakwa hisia zangu ni kiini macho ambapo tayari jibu lipo vinywani mwao ila wanachofanya ni kutimiza taratibu nani wa kumlaumu au kuna nini hapa?
''kutokana na kampuni ya TANESCO kuamua kuongeza bei ya umeme kwa 36%, hivyo basi EWURA wameona kabla ya ongezeko hilo ili wananchi nao watoe mchango wao kama wanakubaliana au la, kila mwananchi unaombwa ufike sehemu husika (ELEKEZI) kwa ajili ya kutoa mchango wako kaaribuni''
Ninachokiona hapakwa hisia zangu ni kiini macho ambapo tayari jibu lipo vinywani mwao ila wanachofanya ni kutimiza taratibu nani wa kumlaumu au kuna nini hapa?