Mzee wa Kisarawe II
Member
- Jul 12, 2024
- 12
- 18
Mtu kalipia zaidi ya miezi 2 huu unaenda wa tatu ila hakuna huduma, majibu mnayonipa ni ya hovyo huduma kwa wateja ni ya ovyo umeme kufungiwa nyumbani kwake mpaka anyooshe mkono au?
Kuna watu wameomba na kulipia mbele yangu wamefungiwa tayari mimi bado.
Ukiuliza wanakwambia tunasubiri vifaa kutoka store hiyo store ya vifaa iko china? Au ni pale kurasini? Maaana miezi mitatu ni ajabu sana.
Nataka kufungiwa umeme nimeshalipa nataka huduma sasa maaana sio ya bure nimetoa pesa yangu.
Kuna watu wameomba na kulipia mbele yangu wamefungiwa tayari mimi bado.
Ukiuliza wanakwambia tunasubiri vifaa kutoka store hiyo store ya vifaa iko china? Au ni pale kurasini? Maaana miezi mitatu ni ajabu sana.
Nataka kufungiwa umeme nimeshalipa nataka huduma sasa maaana sio ya bure nimetoa pesa yangu.