TANESCO jipu, Prof. Muhongo ndiye waziri bora wa nishati kuliko mawaziri wote katika sekta hii ya nishati

Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli kama kweli dhamira yake ni Tanzania ya viwanda hana budi kuisafisha TANESCO kuanzia waziri hadi kwa maofisa wote.

TANESCO imeendelea kuwa shirika la hovyo kabisa umeme hauna uhakika kabisa TANESCO haina hata uwezo wa kutoa huduma kwa masaa 12 bila umeme kukatika, kwa siku umeme hukatika hata Mara 8-12.

Pr. Mhongo alijitahidi sana tulianza kupunguza matatizo sasa yamerudi kwa kasi. Kama tunaitaka Tanzania ya maziwa na asali ni lazima TANESCO ifumuliwe.

Mungu ibariki Tanzania.
mkulu kampa wizara homeboy wake , tatizo la homeboy kapewa wizara imemzidi uwezo anaharibu. Kwanza wizara imegawanywa mara mbili kwa maana kapunguziwa mzigo lakini bado inamshinda!
 
Muhongo hawezi kubali tena kazi ya Huyu jamaaa hata kwa dawa
Wapo watu wengi ukiongea nao wazuri tu lakini hawataki kazi
Wee fikiria juzi anamgombeza Gavana mpya hadharani ;” ...na wewe ukifanya kama alivyokua anafanya mwenzako nakutoaa “ kama sio vitisho au tu kisasi na Beno Ndulu ni nini ?
 
Hajasema Tanesco iwe ya mtu binafsi. That's why katoa na mfano wa ttcl. Soma uelewe kwanza kabla hujacomment
Na hata tukiamua kubinafsisha ni kuangalia namna bora ambayo inaendelea kutupa nafasi ya maamuzi na kiutawala, wabinafsishaji wakawa watendaji kwa mfano umiliki wetu wa hisa 60% na mwekezaji 40%
 
Nahisi hadi leo tungekuwa kwenye teknolojia ya cdma ya china badala ya gsm inayotumika ulimwenguni kote! Ttcl mtandao wa hovyo sana utafikiri sio wa serikali
Hapa ndio tuangalie namna bora ya kuisaidia Tanesco la sivyo Tanzania ya viwanda yatabaki kuwa maandishi ktk vitabu
 
Ni kweli watanzania hatuwezi la maana. Tuambie lipi tumeeeza?
Mkuu kutoweza ni kwa sababu ya mfumo wa hovyo kwa watawala wetu lakini kama tukiwa na mfumo bora katika uwezeshaji wa watu wetu tunaweza.
 
mkulu kampa wizara homeboy wake , tatizo la homeboy kapewa wizara imemzidi uwezo anaharibu. Kwanza wizara imegawanywa mara mbili kwa maana kapunguziwa mzigo lakini bado inamshinda!
Hapa ndio kacheka hii wizara nyeti haitaki siasa
 
Muhongo hawezi kubali tena kazi ya Huyu jamaaa hata kwa dawa
Wapo watu wengi ukiongea nao wazuri tu lakini hawataki kazi
Wee fikiria juzi anamgombeza Gavana mpya hadharani ;” ...na wewe ukifanya kama alivyokua anafanya mwenzako nakutoaa “ kama sio vitisho au tu kisasi na Beno Ndulu ni nini ?
Wapo wengi wanaoweza kufanya vizuri tatizo ni siasa na ubinafsi
 
Mkuu kutoweza ni kwa sababu ya mfumo wa hovyo kwa watawala wetu lakini kama tukiwa na mfumo bora katika uwezeshaji wa watu wetu tunaweza.
Basi wangefanya makubwa uk sa na usa. Uk kuna akina abromovic laksmir ambani dr.sam jonah. Mbona hamna akina masawe tarimo mwakinanile?
 
Mkuu kutoweza ni kwa sababu ya mfumo wa hovyo kwa watawala wetu lakini kama tukiwa na mfumo bora katika uwezeshaji wa watu wetu tunaweza.
Hebu jiulize printa ya kitambulisho cha taifa ni moja tu nchi nzima, mikoani wamefunga nyaya na kuacha tu.
 
Siasa za kiafrika ni upuuzi yani mtu anasimama mbele ya watu anawadanganya na watu wanapiga makofi miaka yote kwa kweli afrika inahitaji ukombozi tena.
Siasa dunia nzima ndivyo zilivyo na wanasiasa wanafanana. Hata Boris Johnson wa UK (kura ya Brexit) na Trump wa Marekani waliwadanganya wapiga kura wakapata ushindi. Baadaye ndio wapiga kura wakajua kuwa waliuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Tanesco inahitaji zaidi watendaji kuliko wanasiasa, kwangu Mramba ndiye aliyekuwa Mtendaji Mkuu bora zaidi Tanesco.

Vv
Hapo kwenye bold nakubaliana na wewe kabisa, ENgineer Mramba alikua anazo plan za maana na alikua aki apply plan zake and they were working, haya mambo ya kutoa mwalimu wa chuo kikuu aliyezoea kufundisha theories tukadhani kwamba anaweza ku apply theories zako into practical, tunakoseaga sana aise.
 
Mkuu kutoweza ni kwa sababu ya mfumo wa hovyo kwa watawala wetu lakini kama tukiwa na mfumo bora katika uwezeshaji wa watu wetu tunaweza.
Hivi tunavyolaumu mfumo huwa hasa tunalenga nini? Tuanze na TANESCO tatizo la kimfumo linalotakiwa kurekebishwa ni lipi hasa?
 
Hajasema Tanesco iwe ya mtu binafsi. That's why katoa na mfano wa ttcl. Soma uelewe kwanza kabla hujacomment
Either way kufanya hizo kazi za TANESCO ziwe soko huria ni kama kuweka rehani mustakabali wa usalama uchumi wetu. Na usalama wa nchi kiujumla.

BTW, Thanks for your comment.
 
Back
Top Bottom