impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli kama kweli dhamira yake ni Tanzania ya viwanda hana budi kuisafisha TANESCO kuanzia waziri hadi kwa maofisa wote.
TANESCO imeendelea kuwa shirika la hovyo kabisa umeme hauna uhakika kabisa TANESCO haina hata uwezo wa kutoa huduma kwa masaa 12 bila umeme kukatika, kwa siku umeme hukatika hata Mara 8-12.
Pr. Mhongo alijitahidi sana tulianza kupunguza matatizo sasa yamerudi kwa kasi. Kama tunaitaka Tanzania ya maziwa na asali ni lazima TANESCO ifumuliwe.
Mungu ibariki Tanzania.
TANESCO imeendelea kuwa shirika la hovyo kabisa umeme hauna uhakika kabisa TANESCO haina hata uwezo wa kutoa huduma kwa masaa 12 bila umeme kukatika, kwa siku umeme hukatika hata Mara 8-12.
Pr. Mhongo alijitahidi sana tulianza kupunguza matatizo sasa yamerudi kwa kasi. Kama tunaitaka Tanzania ya maziwa na asali ni lazima TANESCO ifumuliwe.
Mungu ibariki Tanzania.