impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,733
- 7,610
- Thread starter
- #101
Ccm ndio inayo mwangusha maana wamekuwa wanafiki wanapongeza kila kitu kwa sababu wapate teuzi wajinemeshe na familia zao hawana ukweli wanaomwambia na fahamu mnafiki ni mtu mbaya sana Bora uishi na mwizi , mchawi kuliko mnafikiHivi ni ccm inamwangusha ngosha au ngosha anaiangusha ccm ?
Maana hukupaka mafta kwa mgongo wa chupa