Napo ni shida tu maana nimenunua tangu asubuhi sijapata majibu yoyoteTumia airtel money
Watu tupo stranded hatujui usiku utakuwa wetu au wa vibaka leoNapo ni shida tu maana nimenunua tangu asubuhi sijapata majibu yoyote
Customer care airtel na hao tanesco wote hawapokei simuWatu tupo stranded hatujui usiku utakuwa wetu au wa vibaka leo
Tanzania tupo miaka 200 nyuma ya Europe, mtu ameharibu bado anajificha hata kutoa ushirikiano hatakiCustomer care airtel na hao tanesco wote hawapokei simu
Nilisikia vijana wanasema eti umeme wa mama unademka....
Nunua kwa HalotelCustomer care airtel na hao tanesco wote hawapokei simu
Tumia HalotelWatu tupo stranded hatujui usiku utakuwa wetu au wa vibaka leo
Imegoma Mkuu nadhani tatizo ni kubwa, niliweka kwa Airtel ikagoma, jirani yangu ameweka kwa M-pesa imegoma, nikaweka kwa Halotel pia imekataa, fedha inakatwa ila meseji hazirudiTumia Halotel
Nimenunua kwa Halotel muda mfupi uliopitaImegoma Mkuu nadhani tatizo ni kubwa, niliweka kwa Airtel ikagoma, jirani yangu ameweka kwa M-pesa imegoma, nikaweka kwa Halotel pia imekataa, fedha inakatwa ila meseji hazirudi
Wametupa mtihani mgumu sana, fedha inakatwa hamna umeme Mkuu labda inategemeana na locationNimenunua kwa Halotel muda mfupi uliopita
Hata 1m utafika mwisho labda uwe unanunua zikibaki unit 20Mimi ndio maana nanunua umeme wa kilo then nasahau
Siku ukikumbuka nawenyewe unakuwa umegoma kama hiviMimi ndio maana nanunua umeme wa kilo then nasahau
Kama hawapo basi Singasinga wa IPTL kazi iendelee.Mie naona Symbion power irudishwe tu
Mimi huwa nanunua meter yangu ikianza kupiga makelele. Nadhani ikishafika chini ya unit 12 au 10Hata 1m utafika mwisho labda uwe unanunua zikibaki unit 20
Lakini ni tofauti na kununua umeme wa buku 2 mbili au tanoSiku ukikumbuka nawenyewe unakuwa umegoma kama hivi
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app