Leo Jpili tangu adubuhi nimejaribu kununua umeme via Mpesa na Simbanking (CRDB) lakini hakuna kitu. Mpesa wamekata kabisa pesa lkn hakuna token iliyokuja.
Kote hakuna kituJaribu kwa mawakala
Najua umefurahia sana jambo hili kwasababuDuh nimehangaika nayo hapa kitu kiko 0.00
Duh nifurahie wakati sina umeme?!Najua umefurahia sana jambo hili kwasababu
Watu waendelee kula feza eh!dah..sijui wapi tunafeli kama nchiMie naona Symbion power irudishwe tu
Sio tuanzishe ya kwetu? Wabongo ni watu wajinga sanaMie naona Symbion power irudishwe tu
Tumia airtel moneyLeo Jpili tangu adubuhi nimejaribu kununua umeme via Mpesa na Simbanking (CRDB) lakini hakuna kitu. Mpesa wamekata kabisa pesa lkn hakuna token iliyokuja.
Hapo ndio utashangaa hizi akili za watanzania.badala ya kuomba symbion yetu ianzishwe anataka symbion ya wamarekani irudiWatu waendelee kula feza eh!dah..sijui wapi tunafeli kama nchi
Kwa nini hatutatui matatizo kwa ufumbuzi wa kudumu??Sio tuanzishe ya kwetu? Wabongo ni watu wajinga sana
Tumezowea viraka ndio maana matatizo hayaishi pia fikra zetu nadhani zimewekewa ukomoWatu waendelee kula feza eh!dah..sijui wapi tunafeli kama nchi