walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,520
Mimi nimetumia artel money lkn hakuna kitu mtandao bado ni jipuTumia airtel money
Mimi nimetumia artel money lkn hakuna kitu mtandao bado ni jipuTumia airtel money
Weekend nimejisahau umekata kabisa leo asubuhi. Chamoto nimekiona.Mimi huwa nanunua meter yangu ikianza kupiga makelele. Nadhani ikishafika chini ya unit 12 au 10
Ukiwa na matumizi makubwa halafu unanunua kidogo kidogo kwa hali ilivyo kulala giza lazima, mie kipindi kile nilinusulika nilinunua ukagoma baadaye nikatumiwa token voda na tigo, maranyingi ile alarm inashitua napo zinakuwa kati ya 4-5Lakini ni tofauti na kununua umeme wa buku 2 mbili au tano
Mie alarm hulia zikibaki 4.9Mimi huwa nanunua meter yangu ikianza kupiga makelele. Nadhani ikishafika chini ya unit 12 au 10
Bado hujafanikisha?Weekend nimejisahau umekata kabisa leo asubuhi. Chamoto nimekiona.
Hata airtel money inazimgua mkuu.Tumia airtel money
Boss mbona Mpesa iko fresh tu nimejaribu hapa kununua wa 10k umekuja fresh tuImegoma Mkuu nadhani tatizo ni kubwa, niliweka kwa Airtel ikagoma, jirani yangu ameweka kwa M-pesa imegoma, nikaweka kwa Halotel pia imekataa, fedha inakatwa ila meseji hazirudi
Nishanunua.Bado hujafanikisha?
Okay....ningekusaidia🙈Nishanunua.
Ningeshukiru.Okay....ningekusaidia🙈
Do you think I'm joking eehh...☹️utakua upo kilaji sio bure, watu wapo serious we unaleta utani?
Asijaribu, nimepokea simu nyingi sana za wanaolalamikia hilo!Tumia airtel money
System ya Luku portal GePG ndio inazingua haipeleki feedback kwenye mitandao ya simu ila uki fetch data kwenye database yao unaona umeme uliokwishanunuliwa!Tumehangaika sana na hili suala, sijui Tanesco wana shida gani, mimi nadhani kuna shida kwenye management, nimelipa kwa simu tangu asubuhi mpaka mida hii hamna kitu na mbaya zaidi customer care hawapokei simu
Hadi sasa?Kote hakuna kitu
Asante MkuuSystem ya Luku portal GePG ndio inazingua haipeleki feedback kwenye mitandao ya simu ila uki fetch data kwenye database yao unaona umeme uliokwishanunuliwa!
kwa hio kumba wana
Mie nilijua wote ni hivyo kina kera kweli, mie kikianza tu kama sinunui muda huo basi angalau elf1au 2 ili kukitulizakwa hio kumba wana
setting tofauti sikipendi kile ki alarm chao kama nini kinakera