Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 21,709
- 51,147
Yaani penzi jipya siku ya kwanza umevua ni sawa na kukabidhi mtihani na unasubiri matokeo...,.ukirudi hm unabaki kusikilizia simu yakeshida ndo inaanziaga hapo na akishavua yeye kamaliza kibaya zaid asikute kile alichokuwa anategemea ndo majanga zaidi yaan imeisha hiyo wakati huo sasa bidada damu ndiyo imeshapata moto anajiseti kwa kumwambia maswala ya ndoa![]()

