Tamu na chungu ya penzi jipya

Simu inaita....( Kri kriiiiii.....)

Kupokea tu, unampiga na uongo mtakatifu... "Yaani umeniwahi.... Ndo nlikuwa nakupigia saiv..."
utasikia yaani nilikuwa nakuwaza sasa hivi kama ulikuwa akilini mwangu vile
 
Yaani nakumbuka penzi jipya letu, nilikua napata goosebumps hata nikisikia simu yake akinipigia yaani kama napaa hivi kwa raha ya kusikia sauti yake nzitoo. Dah kilichotokea ni kibuti heavy😂 Nishawahi kupenda mimi.
 
Mimi nitabaki na hilihili penzi langu la zamani,,,Mara kisirani nimenunuwa,Mara nimepewa shit,Mara akiibuka Kama penzi jipya....nishazoe scene zake
 
Mimi nitabaki na hilihili penzi langu la zamani,,,Mara kisirani nimenunuwa,Mara nimepewa shit,Mara akiibuka Kama penzi jipya....nishazoe scene zake
Hongera yako kwa maamuz hayo upo vzr
 
Na Hilo ndio tatizo la penzi jipya,we unakuja kwenye msisimkooo kumbe mwenzio anakunyemelea akuvue Pichu tu
shida ndo inaanziaga hapo na akishavua yeye kamaliza kibaya zaid asikute kile alichokuwa anategemea ndo majanga zaidi yaan imeisha hiyo wakati huo sasa bidada damu ndiyo imeshapata moto anajiseti kwa kumwambia maswala ya ndoa
 
Na Hilo ndio tatizo la penzi jipya,we unakuja kwenye msisimkooo kumbe mwenzio anakunyemelea akuvue Pichu tu
Jo naomba urudishe ile avatar yako ya kikauzukauzu, hii imekaa kinyongenyoge watakuonea sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom