Enemy of the People
Member
- May 30, 2021
- 16
- 15
Unaanzasaka penzi jipya kwinginetenaUkishamkojolea huyo mpenzi mpya unaanza saka tena upya hii thrill
Unaanzasaka penzi jipya kwinginetenaUkishamkojolea huyo mpenzi mpya unaanza saka tena upya hii thrill
Zai bado upo nae au imebaki storyhii namkumbuka binti mmoja wa kitanga anaitwa Zai
Simu inaita....( Kri kriiiiii.....)
Kupokea tu, unampiga na uongo mtakatifu... "Yaani umeniwahi.... Ndo nlikuwa nakupigia saiv..."
AiseeePenzi jipya bhana yan mda huo huo mna chat whatsapp, Instagram, telegram,facebook na sms za kawaida halafu kote mada tofauti
Hivi zile story zisizoisha huwa zinatokea wapi? Na upya wa penzi ukiisha story zinaishia wapi?Na ile mshaongea na simu mda wa kukata kila mtu anamwambia mwenzake kata wewe mara ghafla mada mpya inaibuka maongezi yanaendelea dah
Hakuna lenye mwanzo lisilokosa mwishoHivi zile story zisizoisha huwa zinatokea wapi? Na upya wa penzi ukiisha story zinaishia wapi?
Kweli kabisa na tunasikia raha kusifiwa na babe🤪 unajihisi kama malaika vileila wanawake wanapenda kudanganywa sana yaan hata kama hani hiyo sifa ww mpe tu mukiachana akifika home atakesha kwa kioo wanapenda sana kusifiwa hawa viumbe
Na Hilo ndio tatizo la penzi jipya,we unakuja kwenye msisimkooo kumbe mwenzio anakunyemelea akuvue Pichu tuYaani nakumbuka penzi jipya letu, nilikua napata goosebumps hata nikisikia simu yake akinipigia yaani kama napaa hivi kwa raha ya kusikia sauti yake nzitoo. Dah kilichotokea ni kibuti heavy😂 Nishawahi kupenda mimi.
ukiwa unajiona duniani kote hakuna anayepata raha zaid yakoYaani nakumbuka penzi jipya letu, nilikua napata goosebumps hata nikisikia simu yake akinipigia yaani kama napaa hivi kwa raha ya kusikia sauti yake nzitoo. Dah kilichotokea ni kibuti heavy Nishawahi kupenda mimi.
shida ndo inaanziaga hapo na akishavua yeye kamaliza kibaya zaid asikute kile alichokuwa anategemea ndo majanga zaidi yaan imeisha hiyo wakati huo sasa bidada damu ndiyo imeshapata moto anajiseti kwa kumwambia maswala ya ndoaNa Hilo ndio tatizo la penzi jipya,we unakuja kwenye msisimkooo kumbe mwenzio anakunyemelea akuvue Pichu tu
Jo naomba urudishe ile avatar yako ya kikauzukauzu, hii imekaa kinyongenyoge watakuonea sana.Na Hilo ndio tatizo la penzi jipya,we unakuja kwenye msisimkooo kumbe mwenzio anakunyemelea akuvue Pichu tu