Tamthiliya ya Sultan inaharibu ndoa

Tamthiliya ya Sultan inaharibu ndoa

Kumbe wahanga wa sultan tupo wengi, yaan unamuandalia kila kitu mapema, SAA moja tu ushamshushia mpaka neti unamuandalia hadi nguo za kazini by SAA 2 mshakula.

Baba chanja akiingia chumbani kila kitu kiko safi abakosa 7bu ya kukuitaita, mwisho anakita we mama chanja njoo unipepee nasikia joto.
Unamuwashia fan unamuacha hapo ukirudi SAA 5 anakoloma hahahah

Akiamka asbh kanuni, ila hii sultan itatuvunjia ndoa kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamuwashia fan unamuacha hapo ukirudi SAA 5 anakoloma hahahah
hivi kwani wakina mama huwaga hampendi kugegedwa na waume zenu mbona wakati mwingine mnalalamika ooo mumewangu yeye akipiga bao moja tu chali anakoloma haamshi tena mkoje nyie ??? sasa unapoangalia siema mpaka umkute mwenzio kalala unaweza ukaisha hata mwezi je wewe huna hamu ya kugegedwa???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom