PreGE2025 Tamko zito la vijana CCM wa vyuo vikuu waunga mkono Rais Samia na Dkt.Mwinyi kugombea urais 2025

PreGE2025 Tamko zito la vijana CCM wa vyuo vikuu waunga mkono Rais Samia na Dkt.Mwinyi kugombea urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Lini wanafunzi wa vyuo walikutana na kupitisha ujumbe huu bila kupingwa? Ni UCHAWA tu 😡😡😡😡
 
Kijana maarufu wa UVCCM anayejitambulisha kuwa ni mtanzania mzalendo ndugu Mashaka N'kindikwa asema katiba ya chama cha CCM na kanuni zake zimevunjwa,

Kutoka maktaba :
Maoni juu ya Katiba ya Nchi mwaka 2022

“Katiba isiyotekelezwa inabaki kuwa ni karatasi tu yenye maandishi" . Wasomi wataka utii na ukuu wa katiba.

1738143038441.jpeg


Wakati ajenda ya Katiba Mpya ikiendelea kutawala mijadala nchini, baadhi ya wasomi wakiwemo wachumi, wanasheria na wanaharakati wameibua hoja mpya wakidai tatizo la Tanzania siyo katiba mpya, bali kukosekana kwa ukuu na utii wa Katiba iliyopo
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Nchi imejaa machawa tu
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Unaanisha vyuo au vyoo vikuu mwanangu? Siku hizi tuna machawa hata vyuoni mbali na humu jf. Ni hatari kuwa na wasomi wapumbaff kama hawa mwanangu. Ngoja wamalize waanze kusota vijiweni ndipo watajua hawajui.
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Nilikuwa sielewi uzito ulipo. Kumbe ni kwenye uandishi 😆😆😆
 
Nilikuwa sielewi uzito ulipo. Kumbe ni kwenye uandishi 😆😆😆

Ni matamshi na usomaji wa kiongozi wa wanafunzi wasomi wa vyuo vikuu walio wanaUVCCM wakitetea CCM na viongozi wao wakuu wateule kuelekea uchaguzi wa Oktoba 2025
 
Ni matamshi na usomaji wa kiongozi wa wanafunzi wasomi wa vyuo vikuu walio wanaUVCCM wakitetea CCM na viongozi wao wakuu wateule kuelekea uchaguzi wa Oktoba 2025
Kazi tunayo kama Taifa.

Kiswahili hatukijui n kiingereza hatujui. Lugha mama (kabila) tunaita ushamba.
 
Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.
Ubao utaimaliza generation hii
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Ngoja wamalize chuo halafu warudi mtaani.
 
07 March 2025
Dar es Salaam

🅻🅸🆅🅴 JUMUIYA YA WANAFUNZI CHADEMA (CHASO) WANATOA TAMKO KALI MUDA HUU..

View: https://m.youtube.com/watch?v=KPs0y_iBq08

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi wa CHADEMA (CHASO) Mkoa wa Dar es Salaam, Leonce Martin Sarwat, amekemea vikali...matukio yanayowakumba viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani, akisema yanaathiri demokrasia nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Leonce ameeleza kuwa changamoto kubwa zinazoibuka wakati wa uchaguzi ni pamoja na majina ya wapiga kura kutoonekana katika daftari la wapiga kura, mfumo mbovu wa upatikanaji wa majimbo ya uchaguzi na vitendo vya kutekwa kwa mawakala wa upinzani.

"Tuna wanachama wa CHADEMA waliotekwa na hadi sasa hatujapata majibu kutoka kwa vyombo vya dola.

CHASO tunataka serikali itoe ufafanuzi juu ya wanachama wetu waliopotea," amesema Leonce. Aidha, ameungana na kauli ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, akisisitiza kuwa chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 endapo mabadiliko ya msingi hayatafanyika kwenye mfumo wa uchaguzi.

"Bila mabadiliko ya kweli, hakuna uchaguzi wa kushiriki. Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi ambao ni wa kupanga matokeo," amesema Leonce akisisitiza No Reforms No Election 2025.


View: https://m.youtube.com/watch?v=SmZ8woPYf0s
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

Kauli yao ,kusema Kwao hakuna madhara, hakubadili wala kuongeza chochote kile.
Kauli yao ni matumizi mabaya ya muda, pesa, nguvu na povu.
Mkutano mkuu ulimpitisha kugombea,kwahiyo hilo tamko kwa wakati huu ni useless!!

Vijana hao wanatakiwa watafute KIKI nyingine

The youth in university levels were used as think tank those days!!

Sasa ni USHABWADA tupu, hawajui wanachounga mkono.

Statement as if Kuna mamlaka ndani ya chama imempinga.😅😅

Hivi watu Huwa siku hizi wanasomea UJINGA??
 
Kauli yao ,kusema Kwao hakuna madhara, hakubadili wala kuongeza chochote kile.
Kauli yao ni matumizi mabaya ya muda, pesa, nguvu na povu.
Mkutano mkuu ulimpitisha kugombea,kwahiyo hilo tamko kwa wakati huu ni useless!!

Vijana hao wanatakiwa watafute KIKI nyingine

The youth in university levels were used as think tank those days!!

Sasa ni USHABWADA tupu, hawajui wanachounga mkono.

Statement as if Kuna mamlaka ndani ya chama imempinga.😅😅

Hivi watu Huwa siku hizi wanasomea UJINGA??

Ndiyo maana Umoja wa Wanafunzi wa hawawezi kualika raia kama Tundu Lissu akawanoa bongo wanachuo wa vyuo vya elimu ya juu Tanzania kama cha UDSM kuweza kuongezewa uwezo wa kufikiri nje ya box.
 
24 January 2025
Dar es Salaam, Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=woYIDnx1xcw

Wanafunzi wa vyuo na vyuo vikuu mkoani Dar es Salaam wametoa tamko rasmi kuunga mkono azimio la Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Dkt. Hussein Ally Mwinyi kuwa mgombea wa urais wa Zanzibar kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Soma Pia:
OTUBA YA Pascrates Albinus Mwemezi kwa vyombo vya habali leo wakiwa Ofisi ya CCM mkoa wa DSM :FIRE:

"Vihongozi wa vijana vyuo vikuu watoa tamko kupongeza mkutano mkuu mahaalum kuunga mkono lahisi wa jamhuri la muhungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan kuwa mgombea pekee na lahisi wa Zanzibar mh. Dr. Ussein Hali Mwinyi kuwa mgombea pekee wa ulahisi Zanzibar , wawili ao kupepelusha bendela ya CCM katika uchaguzi wa Oktoba 2025 " - Vihongozi wa Vijana wa CCM Vyuo Vikuhu wasema

Pascrates Albinus Mwemezi Kada huyo wa UVCC kiongozi wa wasomi wanaCCM akiongea na wahandishi wa habali alikumbushia makubwa yaliyofanywa na mheshimiwa lahisi ikiwemo kuongeza boom kwa wanafunzi wakati alipowahalika vihongozi wa wanafunzi ikulu mwezi Febluali 2022 ...

Ni fulaha kubwa kuona Mkutano Mkuu wa Mahalumu wa CCM kwa kutumia madalaka yake talehe 19 Januali 2025 kwa mujibu wa ibala na kanuni za katiba za chama kuwapitisha wakuu hao wawili kwa nafasi ya ulahisi ..

Sisi vijana wasomi wa vyuo vikuu tuna fulaha sana ... kwa lehema hii nyingi kutoka kwa mwenyezi Mungu kutupatia mheshimiwa lahisi anayetekeleza miladi ya kimkakati inayotuletea nehema na falaja kuu ... miladi kama ya humeme, SGR, Samia Scholarship....

chadema ndio habari
 
TOKA MAKTABA:
10 February 2017
Rais wa serikali ya wanafunzi UDOM Mh Victor A Byemelwa asimamishwa masomo kutokana na misimamo yake aliyonayo juu ya wanafunzi wenzake.

Pia rais Byemelwa amehusishwa na siasa za upinzani (CHADEMA)


View: https://m.youtube.com/watch?v=gqevtruCUDk

UDOM Watuhumiwa Kutumwa na CCM, Kufukuza Mwanafunzi​

February 16, 2016


Picha maktaba : Mwenyekiti wa CCM) mkoa wa Dodoma, ndugu Adam Kimbisa

Hali ya sintofahamu imeibuka baada ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kumsimamisha masomo Rais wa Kitivo cha Sanaa na Sayansi za Jamii, Victor Byemelwa, na kudaiwa kumwandikia barua Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa, kumueleza kwamba wamemaliza kazi aliyowatuma.

Uongozi wa chuo hicho umethibitisha kumsimamisha masomo mwanafunzi huyo lakini ukikanusha kuandika barua kwenda kwa mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Dodoma ndugu Kimbisa.

Jana kwenye mitandao ya kijamii, barua inayodaiwa kuandikwa Februari 5, mwaka huu na Mshauri wa Wanafunzi wa chuo hicho, Dick Manongi, ilikuwa ikisambazwa.

Barua hiyo yenye kumbukumbu namba Udom/Dos/36, ilikuwa na kichwa cha habari: "Ukamilisho wa kazi iliyopangwa kufanyika katika koleji ya Humanities & Social Science."

Iliendelea kusema: "Ofisi ya Mshauri wa Wanafunzi Udom, inapenda kukujulisha komredi Adam Kimbisa (Mwenyekiti wa CCM Dodoma,) kuwa kazi mliotupatia katika kutekeleza mkakati wa kuiondoa serikali ya wanafunzi wa upande wa Humanite, imekamilika kwa kijana Victor Byemelwa (aliyekuwa Rais) kuondolewa chuoni kwa kipindi kisichojulikana.

"Napenda kukuhakikishia kuwa kwa kuwa mashtaka yametolewa na Makamu Mkuu wa Chuo upande wa Mipango, Utawala na Fedha na yeye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu, ni wazi kuwa kijana huyu hataweza kamwe kurudi chuoni hivi karibuni.

Tutumie sikukuu hii ya Chama kupanga mikakati ya kuweka serikali mpya tuitakayo mapema iwezekanavyo."

Akizungumzia sakata hilo, Manongi alikanusha kuandika barua hiyo na kudai kuwa imeghushiwa na tayari ameshatoa taarifa polisi katika kitengo cha ufuatiliaji makosa ya kimtandao (cybercrime) ili kutafuta aliyeighushi.

"Barua nimeiona, lakini naomba uwasiliane pia na uongozi wa chuo, mimi nisingependa kuzungumza hilo maana hilo suala nimelipeleka kwa watu wa Cyber Crime Dodoma, wao watatueleza hiyo barua imetoka wapi, binafsi sijaiandika," alisema Manongi.

Kwa upande wake, Ofisa Uhusiano Udom, Beatrice Ntenga, alisema mwanafuniz huyo alisimamishwa kutokana na kosa la kuitisha Baraza la Shule bila kupata idhini ya Mkuu wa Chuo au Makamu Mkuu wa Chuo na kwamba amesimamishwa kwa muda usiojulikana.

Alisema mwanafunzi huyo anatakiwa kujibu mashtaka yake kwa mujibu wa taratibu za chuo na baadaye ataitwa kamati ya nidhamu.

"Barua hiyo tumeiona ikisambaa kwenye mitandao haijatolewa na Dean of Student, imeghushiwa maana muhuri na saini vinaonekana 'vimeskaniwa' na kuwekwa na hata hiyo kumbukumbu namba ya barua haipo kwa Dean ukiisogeza utagundua mapungufu mengi. Tumepeleka huko Cyber Crime wanafuatilia,"alisema Ntenga.

Alisema barua hiyo si ya kweli bali imetengezwa ili kutafuta huruma ya watu huku akithibitisha taarifa za barua hiyo zimewasilishwa polisi.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Kimbisa, alipopigiwa simu hakupokea na badala yake alitaka atumiwe ujumbe mfupi wa simu, baada ya kutumiwa ujumbe wa simu yake hakujibu
 
Back
Top Bottom