Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Mkuu hujuwi Ku quote message mana hii " style" yako ya majibizano nimeipenda.Kweli mkuu
Mkuu hujuwi Ku quote message mana hii " style" yako ya majibizano nimeipenda.Kweli mkuu
Hebu tuwekee tamko la Chadema uliloliona!Nashindwa kuelewa manake naona tamko Mara la CHADEMA Mara la UTG na matamko yote yanatolewa na Malissa. Kwa hiyo UTG = CHADEMA?
JojaUwezo wako wa kujibu joja ndo mwisho ?
Kabisa mkuu na kama Chadema wana taarifa zake si waseme.hii kukaa kimya yule jamaa ana wazazi ana familia unadhani watakuwa katika hali gani endapo ndugu yao ,mwanao haonekani huku wakisikia kwamba kuna miili ya wafu imeokotwa?Inasikitisha sana kama kuna jambo linalotishia uhai wa mtu na bado watu wanaleta mzaha. Lakini mbaya zaidi ni kama mhusika au watu wanaofanya kazi naye karibu wanajua alipo na ahawatoi taarifa. Ni mbaya kupita maelezo maana ikijagundulika alikuwa amesafiri tu, au alikuwa sehemu kufanya kazi fulani, itasababisha hata siku baya likimtokea hakuna atakaye jali.maana itakuwa ni mazoea tu, mbona kipindi fulani alipoteaga kumbe alikuwa amesafiri tu...kumbe kwa hicho kipindi mtu yupo kwenye hati ya kupoteza uhai.
Tujifunze kuacha mzaha kwenye mambo muhimu haswa yanayohusu uhai wa mtu.
Mungu anawaona mkuu ..mnaficha mtu na kuua wengine alafu mnakuja hapa kusingizia serikali makini kama hiii?hii kitu itawatafuna mnoMambo kama haya si ya kuyafanyia maskhara hata siku moja. Hawa vijana wametoa hoja za msingi sana na zinahitaji kupatiwa majibu ya uhakika. Achilia mbali kupotea kwa Ben saa nane suala la Vifo vya utata vya hao watu wengine ni vya kuogofya. Naiona kagame style inataka kuingia nchini kwetu.
Propaganda katika lile tamko ni ipi sasa? Unafikiri wangefanyaje ili waonekane wako objective kulingana na uelewa wako?with all due respect wa ovyo ni hao vijana. badala ya kua objective kumsaka ben saanane wamegeuza tukio hila kama mtaji wa kisiasa wanalitumia kufanya propagamda. mtu anaweza kusema wamemficha ben saanane ili wafanye siasa. kama sivyo wamtafute kijana wa watu waache kufanya siasa na maisha yake.
Who is saa nane mpaka serikali iache shughuli zake za maana na kumfuatilia?JPM ana kazi nyingi zaidi ya saa nane.
Mbona taarifa yao inasema wamemtafuta mahosipatalini magerezani Ata ktk vituo vya Polisi?with all due respect wa ovyo ni hao vijana. badala ya kua objective kumsaka ben saanane wamegeuza tukio hila kama mtaji wa kisiasa wanalitumia kufanya propagamda. mtu anaweza kusema wamemficha ben saanane ili wafanye siasa. kama sivyo wamtafute kijana wa watu waache kufanya siasa na maisha yake.
Chadema wana taarifa na wamemficha saa nane.Kabisa mkuu na kama Chadema wana taarifa zake si waseme.hii kukaa kimya yule jamaa ana wazazi ana familia unadhani watakuwa katika hali gani endapo ndugu yao ,mwanao haonekani huku wakisikia kwamba kuna miili ya wafu imeokotwa?
Watu wanafanya mzaha lakini hili si jambo la kufanya mzaha hata kidogo.
Chadema ni mamlaka husika ya wapi?Mamlaka husika ni ipi..??? Manake wanaohusika na Ben ni chama chake..!!
Hivi kuripoti matukio na kuhoji ni kutengeneza taharuki?Kulikua na haja ya kuunganisha hayo matukio mawili kweli? Kwanini hua mnapenda sana kutengeneza hali ya taharuki katika jamii?
Huyo ndio Ben saa nane ? Maana mimi hata sura yake sijui. Mungu amsaidie apatikane akiwa hai.View attachment 445116 Kila mmoja apaze sauti tunamtaka mtanzania mwenzetu ben saanane akiwa hai ( Bring Back Benny)