Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Paulina Gekul (dada yangu) anasisitiza kuwa ni sahihi kushinikiza waziri mkuu kujiuzulu, kwa maana ya kuiwajibisha serikali
Mwana dada huyu nimesoma naye UDSM tulikuwa tunakutana sana kwenye lecture za Political Science. Alikuwa very ambitious for change good work to her