WA-UKENYENGE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,918
- 1,233
Nimeshasema hapa kwamba Serikali hii imejaa mataahira na ushahidi wa hili jinsi mambo yalivyo hivi sasa shaghala baghala. Rais wa nchi hata kusimama mbele ya Umma wa Watanzania kuongelea kuhusu hili swala la posho kunamshinda!!!! Swala muhimu kama hili anaongea kupitia kurugenzi yake ya Mawasiliano!!!!! Pia mgomo wa madakatari unaoendelea zaidi ya wiki sasa Rais wa nchi hajatia neno!!!! Huku Watanzania wakiendelea kufa na wengine kukosa huduma muhimu kwa matibabu mbali mbali wanayoyahitaji.
Kungekuwa na watu wenye akili timamu katika Serikali hii iliyopoa madarakani basi yote haya yangekuwa yameshazungumziwa kwa kinaga ubaga na kusingekuwa na utata wowote ule lakini kutokana na kujaa mataahira ndani ya Serikali hii kitu ambacho kimesababisha ombwe kubwa sana la uongozi nchini haijulikani nini kinachoendelea kuhusiana na mgomo wa madaktari na pia ongezeko la posho ya Wabunge. Wamethubutu wameweza na sasa wanasonga mbele!!!! Walidhani Urais ni lelemama na kuchekacheka!!!! Mungu inusuru nchi yetu.
jamani yaani hatuli tukashiba; madaktari madaktari, hatuogi tukatakata: mgomo mgomo, hatupigi stori tukacheka; pinda pinda. mbona serikali ilishatoa tamko lake siku ya Jumapili kuwa daktari ambaye ataendelea na mgomo ifikapo jumatatu (jana) ajihesabu kuwa hana kazi. tamko gani tena linatakiwa?
na kwa nini tuendelee kusubiri tamko. Mi nilidhani hili suala ni dharura!Hii serikali ya ajabu sana, kuna matamko mangapi yatatolewa kwa hili sakata? Kwa mtazamo wangu nilitegemea tamko alilotoa waziri mkuu ndio msimamo wa serikali, inaonekana basi matamko yatakuwa mengi sana kwa hali hii, viongozi wajifunze kufanya kazi kama team, wanapotoa tamko ni vyema wakajadiliana kwanza, sio kukaa chumbani na wake zao na kuja kutoa tamko. Kiukweli pinda anadharauliwa sana na watendaji wa serikali, msimamo ule ndio nilitegemea uwe wa serikali. Let me wait and see huo msimamo wa serikali ili nilinganishe na wa pinda.
Wabunge wa upinzani kesho wambane bi mkora hii issue iwe discussed bungeni na akikataa wote watoke nje ya bunge na kuanza kuandaa maandamano ya wananchi kupinga ukimya wa serikali juu ya mauaji yanayoendelea!
Binafsi natumai serkali iendelee kupima joto ya jiwe hadi wiki ijayo.natrajia serikali itakuja na tamko makini huyo kesho.
Nimeshasema hapa kwamba Serikali hii imejaa mataahira na ushahidi wa hili jinsi mambo yalivyo hivi sasa shaghala baghala. Rais wa nchi hata kusimama mbele ya Umma wa Watanzania kuongelea kuhusu hili swala la posho kunamshinda!!!! Swala muhimu kama hili anaongea kupitia kurugenzi yake ya Mawasiliano!!!!! Pia mgomo wa madakatari unaoendelea zaidi ya wiki sasa Rais wa nchi hajatia neno!!!! Huku Watanzania wakiendelea kufa na wengine kukosa huduma muhimu kwa matibabu mbali mbali wanayoyahitaji.
Kungekuwa na watu wenye akili timamu katika Serikali hii iliyopoa madarakani basi yote haya yangekuwa yameshazungumziwa kwa kinaga ubaga na kusingekuwa na utata wowote ule lakini kutokana na kujaa mataahira ndani ya Serikali hii kitu ambacho kimesababisha ombwe kubwa sana la uongozi nchini haijulikani nini kinachoendelea kuhusiana na mgomo wa madaktari na pia ongezeko la posho ya Wabunge. Wamethubutu wameweza na sasa wanasonga mbele!!!! Walidhani Urais ni lelemama na kuchekacheka!!!! Mungu inusuru nchi yetu.
Wewe nae usimtaje huyo, huyo ndio aliyetuletea matatizo yote haya.
Hivi bado wa tz tunajua tunae serikali?serikal kani isiyoweyeza kuumizwa na matatizo ya wananch wake?hivi ni nch gani afirica inayoongozwa kama tz?inch gani ina inayobeba mafisadi kam tz?inch gani africa yenye raisi asiyekua na msimamo kama tz?kiufupi hatuna serikali tuna mifano ya viongoz
mkuu,huwezi kula kwa raha wakati watu wanataabika na kufa.kama madaktari wale wamejifukuzisha kazi basi tusikie mbadala wa madaktari hao na sio wanajeshi 15 ambao hawajatosheleza mahitaji.wewe hutaki kusikia tathmini ya athari za mgomo?hutaki kusikia waliosababisha mgomo wamewajibika vipi?tuwe serious kidogo hata kama hatujazoea,hii sio richmond wala dowans!people are suffering!
Ushibe mara ngapi?! Mbona mtumbo umekuvimba kama furushi kinyesi.
atuambie wangapi hawana kazi baada ya tamko lake na wangapi wana kazi. Atupe data aliowafuta kazi ndo tunataka kujua. Asituletee yale ya sukari ishuke bei mpaka leo inapanda yuko kimya. Kwa lamadaktari tunae..atoe tamko