Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
jamani yaani hatuli tukashiba; madaktari madaktari, hatuogi tukatakata: mgomo mgomo, hatupigi stori tukacheka; pinda pinda. mbona serikali ilishatoa tamko lake siku ya Jumapili kuwa daktari ambaye ataendelea na mgomo ifikapo jumatatu (jana) ajihesabu kuwa hana kazi. tamko gani tena linatakiwa?
Kamanda ni afadhali na wewe umesema bana! yaani hatuna muda wa kujadili mambo mengine kila wakati ni hayo hayo tu?