msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 616
- 487
Wadau habari za mchana,napenda kujua lile tamko la serikali limeishiaje maana baadhi ya hayo makampuni yanaendelea kuwanyonya wadogo zetu ikiwamo kampuni ya erolink inaendesha shughuli zao mpaka sasa pale Vodacom. nawasilisha.