Tamko la kataa ndoa dhidi ya chama cha CHAPUTA!.

Tamko la kataa ndoa dhidi ya chama cha CHAPUTA!.

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
35,744
Reaction score
86,370
Awali ya yote natumai mu buheri wa afya..

Mimi kama katibu wa chama cha kataa ndoa, napenda kutoa rai ama ushauri juu ya chama cha CHAPUTA yani chama cha wapiga punyeto Tanzania!.

Kwanza ieleweke hivi kwa watu wote chama chetu cha kataa ndoa si kwamba kukataa ndoa ndo kukosa mpenzi!, la hasha!. Na vilevile kukataa ndoa sio kwamba sisi ni wapiga punyeto!, Bali swala la huduma ya huba ama mapenzi tunalipata vilivyo tena huku tukizingatia afya zetu kama idara za afya zinavyotutaka!.

Lengo la bandiko hili ni kuwashauri wana CHAPUTA kuacha tabia hiyo ya punyeto ama kujibinya mara moja!, kwamaana haizingatii afya maana huaribu misuri ya kiungo kinachobinywa!, na pia huathiri saikolojia ya mjibinyaji yani mpiga punye!.
Itakuwa vyema kama chama hicho kitazingatia ushauri huu, sisi kama chama kikongwe tumeona si vyema kuwaacha ndugu zetu mkiangamia!.

Pia chama chetu cha kataa ndoa kipo tayari kupokea wanachama wapya mwendo ni NO REFORM NO MARRIAGE!.

Niwatakie usingizi mnono!.
 
Awali ya yote natumai mu buheri wa afya..

Mimi kama katibu wa chama cha kataa ndoa, napenda kutoa rai ama ushauri juu ya chama cha CHAPUTA yani chama cha wapiga punyeto Tanzania!.

Kwanza ieleweke hivi kwa watu wote chama chetu cha kataa ndoa si kwamba kukataa ndoa ndo kukosa mpenzi!, la hasha!. Na vilevile kukataa ndoa sio kwamba sisi ni wapiga punyeto!, Bali swala la huduma ya huba ama mapenzi tunalipata vilivyo tena huku tukizingatia afya zetu kama idara za afya zinavyotutaka!.

Lengo la bandiko hili ni kuwashauri wana CHAPUTA kuacha tabia hiyo ya punyeto ama kujibinya mara moja!, kwamaana haizingatii afya maana huaribu misuri ya kiungo kinachobinywa!, na pia huathiri saikolojia ya mjibinyaji yani mpiga punye!.
Itakuwa vyema kama chama hicho kitazingatia ushauri huu, sisi kama chama kikongwe tumeona si vyema kuwaacha ndugu zetu mkiangamia!.

Pia chama chetu cha kataa ndoa kipo tayari kupokea wanachama wapya mwendo ni NO REFORM NO MARRIAGE!.

Niwatakie usingizi mnono!.
Wanaokataa ndoa ima ni waseeenge, wahuniii, wazinziii na wanafiki wa kutupwa. Bila ndoa, sijui wao wangekuwa wapi.
 
Awali ya yote natumai mu buheri wa afya..

Mimi kama katibu wa chama cha kataa ndoa, napenda kutoa rai ama ushauri juu ya chama cha CHAPUTA yani chama cha wapiga punyeto Tanzania!.

Kwanza ieleweke hivi kwa watu wote chama chetu cha kataa ndoa si kwamba kukataa ndoa ndo kukosa mpenzi!, la hasha!. Na vilevile kukataa ndoa sio kwamba sisi ni wapiga punyeto!, Bali swala la huduma ya huba ama mapenzi tunalipata vilivyo tena huku tukizingatia afya zetu kama idara za afya zinavyotutaka!.

Lengo la bandiko hili ni kuwashauri wana CHAPUTA kuacha tabia hiyo ya punyeto ama kujibinya mara moja!, kwamaana haizingatii afya maana huaribu misuri ya kiungo kinachobinywa!, na pia huathiri saikolojia ya mjibinyaji yani mpiga punye!.
Itakuwa vyema kama chama hicho kitazingatia ushauri huu, sisi kama chama kikongwe tumeona si vyema kuwaacha ndugu zetu mkiangamia!.

Pia chama chetu cha kataa ndoa kipo tayari kupokea wanachama wapya mwendo ni NO REFORM NO MARRIAGE!.

Niwatakie usingizi mnono!.
mbona CHAPUTA ni chama kikongwe sana kulicho Chenu cha ganda la ndizi A.K.A mseleleko
 
Back
Top Bottom