"Walikubali, na USD 225 milioni zilitumika kukodisha mitambo ya Kampuni za Aggreko, Alstom na Richmond"
Aggreko: 40MW
Alstom: 50MW
Richmond:100mw
$225 million:
Kama walikuwa na hizo pesa kwa nini wasingenunua mitambo yao mipya, kipindi hicho gharama ya 100MW ilikuwa $50 million mpaka kuwashwa. kwa hesabu ya haraka haraka tungepata 450MW inakuwa mali ya serikali siyo kukodisha na tungekuwa nayo kwa miaka 40-50. badala ya kukodisha kwa miaka 3 kwa gharama hiyo hiyo tena 190mw tu.
Kweli JK hawezi kukataa kwa hili kwamba hausiki,
Leo hii mtambo wa 100mw ni $60million, lakini Dr Idrisa wametoa tender kwa gharama ya $120 million kwa mtambo wa 100mw. na hapa watatumia kampuni ambayo haizalishi hii mitambo kama noor oil ya matapeli wa kihindi na waharabu ambayo ni mjomba wake ni Richmond