Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,509
- 6,862
Ukiwa mnafiki wakati we ni kijana, jua ukiwa mzee utakua mchawi By Nepi Nnauye!
Ikumbukwe kuwa vurugu hizi zilianza pale CUF ilipotamka kuwa haimtambui Mbunge aliyechaguliwa hivi karibuni (Jimbo la Bububu). CUF Mnajitoaje kwenye hili? Nionacho mimi mnajikosha ili muonekane na ninyi mnapinga jambo hili lakini ukweli mnaujua
Isome hii mada. Link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kiini-macho-cha-muungano-12.html#post4825595Kumbe Z'bar ni nchi, alf wao ya bara wala hayawahusu lol..,..
cuf ni janga lingine katika nchi hii!