Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 408
Ukiangalia kwa makini tamko la CHADEMA lililotolewa na kada wao Marando kuhusiana na haya mambo ya Ugaidi ni dhahiri wazi mfumo wake ni wa Mwanahalisi zaidi.Kwa maana ya kwamba CHADEMA sio wao walioandaa ile report bali wamewatumia Mwanahalisi kufanya mambo yao.
Haiwezekani Chama kisijue namba ya Naibu katibu mkuu mpaka tamko linatoka.Ndo hapo sasa napata wazo kwamba Marando alienda pale kusoma tu na wala hajui chochote kinachoendelea na nani aliyeandaa ile taarifa.
Haiwezekani Chama kisijue namba ya Naibu katibu mkuu mpaka tamko linatoka.Ndo hapo sasa napata wazo kwamba Marando alienda pale kusoma tu na wala hajui chochote kinachoendelea na nani aliyeandaa ile taarifa.