blue arrow
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 271
- 17
ukimfukuza sana mjusi atageuka kuwa nyoka, kwani marando yeye hawezi kukosea akiwa kama mwanadamu?
Mkuu Chadema hawana Intelegensia ya kuandika mambo kama yale.
Inteligensia ya CDM
inaconstitute watanzania wote wenye uzalendo wa kweli ambao wapo kila
idara na kila shirika, ukienda ikulu, TISS, TCRA, jeshini,
polisi,magereza to mention only a few.
Ha ha haaaaaa, kwi kwi kwiiiiii,,, hii ni kali ya karne maana jamaa alishindwa hata kuchungulia kuna nini kwenye hilo licheki
ndiyo maana njama zao za kigaidi zinaumbuliwa mapema na kwa urahisi
Ukiangalia kwa makini tamko la CHADEMA lililotolewa na kada wao Marando kuhusiana na haya mambo ya Ugaidi ni dhahiri wazi mfumo wake ni wa Mwanahalisi zaidi.Kwa maana ya kwamba CHADEMA sio wao walioandaa ile report bali wamewatumia Mwanahalisi kufanya mambo yao.
Haiwezekani Chama kisijue namba ya Naibu katibu mkuu mpaka tamko linatoka.Ndo hapo sasa napata wazo kwamba Marando alienda pale kusoma tu na wala hajui chochote kinachoendelea na nani aliyeandaa ile taarifa.
Duh!! hii kali (TWO HUNDRED THOUSAND = 300,000), halafu jamaa anatabasamu?
kazi ipo kwa tanzania hatufiki kama hata rais anadanganywa kwa njia nyepesi kiasi hiki ni aibu
Ukiangalia kwa makini tamko la CHADEMA lililotolewa na kada wao Marando kuhusiana na haya mambo ya Ugaidi ni dhahiri wazi mfumo wake ni wa Mwanahalisi zaidi.Kwa maana ya kwamba CHADEMA sio wao walioandaa ile report bali wamewatumia Mwanahalisi kufanya mambo yao.
Haiwezekani Chama kisijue namba ya Naibu katibu mkuu mpaka tamko linatoka.Ndo hapo sasa napata wazo kwamba Marando alienda pale kusoma tu na wala hajui chochote kinachoendelea na nani aliyeandaa ile taarifa.
Suala la faragha ya mawasiliano lipo kitambo sana. Serikali ilichofanya ni kukumbusha tu.
Samahani, sikumaanisha faragha ya mawasiliano, nilimaanisha kesi ya Lwakatale kufanyika FARAGHA, yote hayo ni matokeo ya hiyo report!
mimi sina shida na nani aliyefanya uchunguzi, iwe ni mwanahalisi au gazeti gani sijui au marando mwenyewe, cha muhimu kwangu ni , serikali imehusika na ndio maana mara baada ya report ile kuwekwa mezani na marando, yafuatayo tumeyasikia, kwanza, jumatatu, keshi imefanyika faragha na serikali imepiga mkwara wamiliki wa makampuni ya simu na tatu, mwigulu kawa mpole kama ile issue yake ya kutishiwa kuawa ya sms wakati ule, kumbuka ni marando mwenyewe aliyeka wazi! So kwangu mimi kikubwa ni story na sio nani kaleta story.