Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
mnanyanyasa viumbe visvyo na hatia na kubambikizia kesi wanadamu wanaotetea wanyonge mnatapatapa sana kwa sababu kiama chenu kimefka ipo wapi KANU ya Dikteta MOI...MUDA WENU UMEFKA
Mimi sina shida na nani aliyefanya uchunguzi, iwe ni Mwanahalisi au gazeti gani sijui au Marando mwenyewe, cha muhimu kwangu ni , Serikali imehusika na ndio maana mara baada ya report ile kuwekwa mezani na Marando, yafuatayo tumeyasikia, kwanza, Jumatatu, keshi imefanyika FARAGHA na serikali imepiga mkwara wamiliki wa makampuni ya simu na tatu, Mwigulu kawa mpole kama ile issue yake ya kutishiwa kuawa ya sms wakati ule, kumbuka ni Marando mwenyewe aliyeka wazi! So kwangu mimi kikubwa ni story na sio nani kaleta story.
ukiangalia kwa makini tamko la chadema lililotolewa na kada wao marando kuhusiana na haya mambo ya ugaidi ni dhahiri wazi mfumo wake ni wa mwanahalisi zaidi.kwa maana ya kwamba chadema sio wao walioandaa ile report bali wamewatumia mwanahalisi kufanya mambo yao.
Haiwezekani chama kisijue namba ya naibu katibu mkuu mpaka tamko linatoka.ndo hapo sasa napata wazo kwamba marando alienda pale kusoma tu na wala hajui chochote kinachoendelea na nani aliyeandaa ile taarifa.
mnanyanyasa viumbe visvyo na hatia na kubambikizia kesi wanadamu wanaotetea wanyonge mnatapatapa sana kwa sababu kiama chenu kimefka ipo wapi kanu ya dikteta moi...muda wenu umefka
ukiangalia kwa makini tamko la chadema lililotolewa na kada wao marando kuhusiana na haya mambo ya ugaidi ni dhahiri wazi mfumo wake ni wa mwanahalisi zaidi.kwa maana ya kwamba chadema sio wao walioandaa ile report bali wamewatumia mwanahalisi kufanya mambo yao.
Haiwezekani chama kisijue namba ya naibu katibu mkuu mpaka tamko linatoka.ndo hapo sasa napata wazo kwamba marando alienda pale kusoma tu na wala hajui chochote kinachoendelea na nani aliyeandaa ile taarifa.
Said kubenea alikuwa bingwa wa kutengeneza habari za uwongo
Sasa hapo kuna kosa gani alilolifanya.Kutaja namba ya Zitto haina maana kwamba anatuhumiwa kufanya kosa lolote hii ni kwa ajili ya kuisaidia mahakama kiutendaji.Mbona namba ya Lwakatare imetajwa kwa nini yenyewe usiihoji?.
Said kubenea alikuwa bingwa wa kutengeneza habari za uwongo
Ukiangalia kwa makini tamko la CHADEMA lililotolewa na kada wao Marando kuhusiana na haya mambo ya Ugaidi ni dhahiri wazi mfumo wake ni wa Mwanahalisi zaidi.Kwa maana ya kwamba CHADEMA sio wao walioandaa ile report bali wamewatumia Mwanahalisi kufanya mambo yao.
Haiwezekani Chama kisijue namba ya Naibu katibu mkuu mpaka tamko linatoka.Ndo hapo sasa napata wazo kwamba Marando alienda pale kusoma tu na wala hajui chochote kinachoendelea na nani aliyeandaa ile taarifa.
wewe unapoitetea CDM unalipwa ngapi ukirudi togo st? au utaishia kukanwa kama Ludovick na deus?Hivi kila Uzi wa Kuiponda CDM huwa unalipwa shilingi ukisharudi pale Lumumba?
kwa maelezo ya zito mweneyewe namba bado haijapewa mtu mwingine !!!Embu kuwa muwazi Chadema hawajaweka namba ya katibu mkuu..wameweka namba iliyowahi kuwa ya katibu mkuu,ambayo kwa uchunguzi wao imeonekana kuwa inatumiwa na mtu anayeitwa Jack Zoka..sasa hauelewi nini hapa
:nono: hili ndo tatizo lenu chalema mbe! kila atakaye toa hoja against CDM katumwa! wewe umetumwa na nani uje kuleta utumbo wako hapa? Watanzania gani unaowasemea wewe?? semea nafsi yako achana na watanzaniawingu katumwa na nape na cashier wao waambie waliokutuma watanzania wameshajua anayewang'oa meno
kwa maelezo ya zito mweneyewe namba bado haijapewa mtu mwingine !!!
FYI the number still registered to Zitto ZuberiZito ni meneja wa kitengo gani Vodacom? yeye ndiye anaye control re-allocation of inactive sims to new customers?
FYI the number still registered to Zitto Zuberi
wewe unapoitetea CDM unalipwa ngapi ukirudi togo st? au utaishia kukanwa kama Ludovick na deus?