TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,868
- 5,753
Lowassa na timu yake wamepigwa kiaina hapo
mwenyekiti ni mbowe&katibu mashinji,sisi ni wale tuliokwazika na ujio wa kaka mkubwa!
Sio huyo tu hata huyu mama aliyemteua kisha mteuliwa akadumu masaa kadhaamajaliwa nae alikuwa timu lowassa.
nilisikia mahali kuwa kiko Congo-DRC.
Hivi hiki chama cha "Chadema Asili" kimesajiliwa na msajili mkuu wa vyama....?
Makao makuu yao yako wapi?
Mwenyekiti & Katibu wao ni nani?
Kwa niaba ya wale!Acha kusema sisi sema wewe na Dr.yule wa kushindia mihogo.
Tamko si lazima waalikwe waandishi!Tamko hili mlilitolea wapi na waandishi gani walihudhuria?
Tamko ili liwe tamko ni lazima litolewe ktk muktadha maalumu, watu maalumu na wakati maalumu.
Poleni sana.
Sisi CDM hatuongozwi na wala kufikiria kwa kutumia TUMBO kama mleta Thread kadake chako tembea mbele kama kawa then kesho uje tena..as usual.Ndugu wana jf,
CHADEMA asili tuliosalia kuipigania demokrasia ya kweli na kuupiga vita ufisadi unaofanywa na viongozi waliopo CCM na walioondoka,
Tunajua nchi ipo katika kipindi cha vuguvugu la mabadiliko ya kisiasa kisera na kiuchumi,sisi CHADEMA asili tunafuatilia yale yote yanayo endelea na yanayofanywa na serikali mpya ya rais magufuli,
Labda tuseme yapo tunayompongeza na yapo tusiompongeza,
Tunayompongeza ni kama vile utendaji kazi wake wa utumbuaji majipu na kurudisha nidhamu maofisini,
pia labda tuchukue fursa hii kumpa pongezi kupewa uenyekiti,
CHADEMA asili haturidhishwi na mambo yanavyokwenda kwenye chama chetu,hivi sasa kila mmoja ni msemaji wa chama,chama kimekuwa na watu waoga kupita kiasi,tunajua sisi ni watu wa maandamano na kupigwa,
Hatuungi mkono mkono wabunge wa upinzani kutoka nje kwenye vikao vya bunge utamaduni ni kupambana kwa hoja ikishindikana maandamano,
Mpaka sasa chama kimetupa hoja yake kuu ya chama kupambana na ufisadi ambayo kipindi cha nyuma tulikua tukitembea kifua mbele,
labda tumpongeze mwenyekiti kwa kuendelea kuwepo katika harakati japo kuna watu wanataka kumzidi nguvu,
pia ombi letu mwenyekiti turudishie ile list ya mwembe yanga pale kwenye tovuti ya chama na pia sloogan ya kupambana na ufisadi lazima kila kiongozi mjumbe aimbe hilo na pia chama kufeli kwenye kuhitimu turudi kwenye harakati,
pia tunalaani chama kutumia pesa nyingi kwenye media kujaribu kusafisha watu walioamua kujifunika matope kwa utashi wao.
ni hayo kwa leo ila yapo mengi kwa baadae!
CHADEMA vyema sum sum kazi ngumu
hatupigi ila tunaua,kwanini kwa sera.
Imetolewa na CHADEMA asili
Mfanye substitution method, kaka mkubwa kaja B nyie muende A mliokwazikamwenyekiti ni mbowe&katibu mashinji,sisi ni wale tuliokwazika na ujio wa kaka mkubwa!
Punguza wasiwasi!Hapana CHADEMA ni moja wewe uliekwazika nakushauri nenda karambe dimu
Mpaka wajitokeze wote ndio mtaaminiEti Ma Gamba ndio yanajiita CHADEMA asili.
Aibu sana Kwa kweli
Ndugu wana jf,
CHADEMA asili tuliosalia kuipigania demokrasia ya kweli na kuupiga vita ufisadi unaofanywa na viongozi waliopo CCM na walioondoka,
Tunajua nchi ipo katika kipindi cha vuguvugu la mabadiliko ya kisiasa kisera na kiuchumi,sisi CHADEMA asili tunafuatilia yale yote yanayo endelea na yanayofanywa na serikali mpya ya rais magufuli,
Labda tuseme yapo tunayompongeza na yapo tusiompongeza,
Tunayompongeza ni kama vile utendaji kazi wake wa utumbuaji majipu na kurudisha nidhamu maofisini,
pia labda tuchukue fursa hii kumpa pongezi kupewa uenyekiti,
CHADEMA asili haturidhishwi na mambo yanavyokwenda kwenye chama chetu,hivi sasa kila mmoja ni msemaji wa chama,chama kimekuwa na watu waoga kupita kiasi,tunajua sisi ni watu wa maandamano na kupigwa,
Hatuungi mkono mkono wabunge wa upinzani kutoka nje kwenye vikao vya bunge utamaduni ni kupambana kwa hoja ikishindikana maandamano,
Mpaka sasa chama kimetupa hoja yake kuu ya chama kupambana na ufisadi ambayo kipindi cha nyuma tulikua tukitembea kifua mbele,
labda tumpongeze mwenyekiti kwa kuendelea kuwepo katika harakati japo kuna watu wanataka kumzidi nguvu,
pia ombi letu mwenyekiti turudishie ile list ya mwembe yanga pale kwenye tovuti ya chama na pia sloogan ya kupambana na ufisadi lazima kila kiongozi mjumbe aimbe hilo na pia chama kufeli kwenye kuhitimu turudi kwenye harakati,
pia tunalaani chama kutumia pesa nyingi kwenye media kujaribu kusafisha watu walioamua kujifunika matope kwa utashi wao.
ni hayo kwa leo ila yapo mengi kwa baadae!
CHADEMA vyema sum sum kazi ngumu
hatupigi ila tunaua,kwanini kwa sera.
Imetolewa na CHADEMA asili
Hayo Ma Gamba sio ??Mpaka wajitokeze wote ndio mtaamini
Kiko mtaa wa Lumumba, kinatafutiwa usajili
Hivi hiki chama cha "Chadema Asili" kimesajiliwa na msajili mkuu wa vyama....?
Makao makuu yao yako wapi?
Mwenyekiti & Katibu wao ni nani?
Kwani chadema wote waliridhika na ujio wa kaka mkubwa,asili yake ndani ya ufipa!1.0 MATATIZO YA KICHAMA, KIFAMILIA , KI DINI NA MENGINEYO KAMA HAYO HAYATATULIWI KWA KUTUMIA MITANDAO.
2.0 CHADEMA ASILI NI ASILI YA WAPI HIYO?
Wee kipara umetumwa na Mama Mshumbusi?Ndugu wana jf,
CHADEMA asili tuliosalia kuipigania demokrasia ya kweli na kuupiga vita ufisadi unaofanywa na viongozi waliopo CCM na walioondoka,
Tunajua nchi ipo katika kipindi cha vuguvugu la mabadiliko ya kisiasa kisera na kiuchumi,sisi CHADEMA asili tunafuatilia yale yote yanayo endelea na yanayofanywa na serikali mpya ya rais magufuli,
Labda tuseme yapo tunayompongeza na yapo tusiompongeza,
Tunayompongeza ni kama vile utendaji kazi wake wa utumbuaji majipu na kurudisha nidhamu maofisini,
pia labda tuchukue fursa hii kumpa pongezi kupewa uenyekiti,
CHADEMA asili haturidhishwi na mambo yanavyokwenda kwenye chama chetu,hivi sasa kila mmoja ni msemaji wa chama,chama kimekuwa na watu waoga kupita kiasi,tunajua sisi ni watu wa maandamano na kupigwa,
Hatuungi mkono mkono wabunge wa upinzani kutoka nje kwenye vikao vya bunge utamaduni ni kupambana kwa hoja ikishindikana maandamano,
Mpaka sasa chama kimetupa hoja yake kuu ya chama kupambana na ufisadi ambayo kipindi cha nyuma tulikua tukitembea kifua mbele,
labda tumpongeze mwenyekiti kwa kuendelea kuwepo katika harakati japo kuna watu wanataka kumzidi nguvu,
pia ombi letu mwenyekiti turudishie ile list ya mwembe yanga pale kwenye tovuti ya chama na pia sloogan ya kupambana na ufisadi lazima kila kiongozi mjumbe aimbe hilo na pia chama kufeli kwenye kuhitimu turudi kwenye harakati,
pia tunalaani chama kutumia pesa nyingi kwenye media kujaribu kusafisha watu walioamua kujifunika matope kwa utashi wao.
ni hayo kwa leo ila yapo mengi kwa baadae!
CHADEMA vyema sum sum kazi ngumu
hatupigi ila tunaua,kwanini kwa sera.
Imetolewa na CHADEMA asili