Pole sana mkuu, hakika hata mimi nimesoma kwa huzuni sana na bbada ya kumaliza nikajiuliza mimi natoa mchango katika mapambano haya jibu ni moja niaendelea kukiwezesha chama changu ili wanaoifanya kazi hii njema wazidi kuifanya....
Mkuu Artorius, kama una uwezo to read in between the lines, authenticity ya video hapa haijazungumziwa tena!. Wameisha jiridhisha it is "bonafide genuine!" kitachotafutwa sasa ni kumnasua tuu Rwakatare kwa kujenga hoja mchezo mzima ulikuwa ni mtego wa TISS, wakimaanisha Ludo, Msaki, Mchemba na vijana wao lao ni moja, Rwaka ndio oddman out!.
Pasco.
huo ni upande mmoja hatujapata upande wa pili je tunaaminije?
Wewe tulia unyolewe!
Siasa shida
Nimelisoma tamko hadi nimesisimka! Kama hayo aliyo yasema Marando ni kweli na iliyo kweli tupu basi nachelea kusema kuwa taifa letu haliko kwenye mikono salama hata kidogo! Wenzetu mataifa mengine wanazitumia siasa kwa ajili ya ustawi wa nchi sisi tunaitumia siasa kufanya uharamia na ugaidi wa kupanga.
Naomba niweke hakiba ya maneno kwa kusema, ukweli huwa una tabia ya kukawia kufika lakini huwa hauachi kufika uliko kusudiwa kufika.
CC chama, Ritz, ZeMarcopolo zumbemkuu Elli.
Sina kumbukumbu vema, hivi ipo siku Nape aliwahi uzungumzia hili suala? au ndo keshasoma mchezo na sasa anamwaachaa Lameck afe na kabma yake kwa shingo!
by reading between the lines you mean skipping some lines au the whole para?Mkuu Artorius, kama una uwezo to read in between the lines, authenticity ya video hapa haijazungumziwa tena!. Wameisha jiridhisha it is "bonafide genuine!" kitachotafutwa sasa ni kumnasua tuu Rwakatare kwa kujenga hoja mchezo mzima ulikuwa ni mtego wa TISS, wakimaanisha Ludo, Msaki, Mchemba na vijana wao lao ni moja, Rwaka ndio oddman out!. Pasco.
salamu kwa pasco wa jf,alituambia ile video ni ya ukweli,pasco tunakutaka hapa jamvini mara moja
Chadema watafute namna ya kumpongeza huyu jamaa wao wa usalama wa CHADEMA ambaye alikataa milioni 30 na mshahara wa laki tano kwa mwezi just kwa maslahi ya chama. I wish tungekuwa na vijana wa aina hii hata watano tu, pengine tungekuwa tulishaingia Ikulu siku nyingi sana.Magaidi wa CCM washindwe katika juhudi zao za kupandikiza ushahidi dhidi ya viongozi wa juu wa CHADEMA kwa nia ya kuwachafua, kuwaweka rumande na hatimaye kuwafungulia kesi za kizushi ili kukisambaratisha CHADEMA.
Alutta continua!! continua!!
😛eace:😛eace:😛eace:
Acha uongo , wamesema kuhusu video editing iliyofanywa na Michuzi
I'm Speechless!.
Ila pia tumepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo ya kimawasiliano na kisheria, ambapo mawasiliano ya simu binafsi za watu ambayo ni siri, na yamepatikana kinyume cha sheria, yanapowekwa wazi kwa waandishi wa habari pamoja na namba za simu!, haya ni maendeleo makubwa sana kimawasiliano!.
Pia kwa kawaida, maombi huwasilishwa kwanza mahakamani ndipo umma ukatangaziwa ni maombi gani yamewasilishwa, lakini sasa kumbe unaweza kuwasilisha maombi kwa kuwatangazia wanahabari, hadi clasified information ulizonazo, ambazo zimepatikana kinyume cha sheria, kwa kutangaza details za hizo info, na ndipo kuziombea rasmi kibali cha mahakama ili ziwe releazed legally, haya pia ni maendeleo makubwa katika tasnia ya sheria!.
Kiukweli hii ni very high profile case, nadhani kwa kumbukumbu zangu, it the highest kwa hapa nchini, kwa mshatakiwa mmoja, kutetewa na mawakili 7!, wakati mshtakiwa mwenza bado hana wakili hata mmoja!.
Please watch out kwa twists and turns za hii kesi hapo mahakamani hiyo kesho!, mambo matatu haya yanaweza kutokea.
- Kesi inaweza kufutwa na kufunguliwa upya, washtakiwa wakaongezeka au kupunguzwa ukiwemo uwezekano mkubwa sana wa Ludo kuondolewa mashtaka na kugeuzwa shahidi No.1 wa serikali!.
- Kesi inaweza kufutwa na kufunguliwa upya ikijumlisha kosa la utekaji wa Kibanda.
- Kesi mpya ya shitaka la Kibanda inaweza kufunguliwa au hivyo kuzifanya hizi kesi kuwa ni kesi mbili tofauti.
- Kesi inaweza kuendelea kutajwa kama kawaida bali kwa kuongeza mshakiwa yule "Bukoba Boy!".
- Lolote kati ya hayo linaweza likafanyi, au yote yakafanyika au yote yasifanyike!.
Pasco.
vipi kuhusu zile chafya na kujifuta makamasi kwenye nguo, nazo ni editing??????tumia kichwa kufikiri badala ya kufuga nywele
mkuu umenichekesha kweli.....rukaruka ya kufa nadhani iko tofauti kidogo, mfano ni kama hii ya chadema...waambieni watulie wapeleke ushahidi mahakamani
Hivi unajua maana ya ku edit? Si lazima mkanda mzima ufanyiwe editing!
mkuu jitahid usilie mpaka upate ukweli ila huwezi kulia kwa post ya upande mmoja make wanasiasa ni wajanja na wanauwezo mkubwa wa kuunda mambo.
Nami sintachoka katika ukomboziiii huu na nitachangia kila kitu na jambo ndani ya uwezo wangu katika chama.... na sasa nipo kibaha tunamalizia ufunguzi wa kanda.
inaumiza sanaaaaaa yan mwingulu nchembaaaaaaaaaaaaa..... kwaniniiiiiiiii hiviiiiii...
Nilishasema wewe ni kigeugeu tuu huna jipya! Naona umekuja na sarakasi nyingine! Hahahahahaha