Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.

Is "EDITED" Original or Fake to you? Kama reference zako ni Mwigulu hupaswi kuwa ktk jamvi hili kabisa
 
Wazubutu kufanya hivyo waone nadhani siku hiyo itashuhudia mengi watu tutakufa ila ninaamini wajukuu zetu watapata maisha mazuri. Heri kifo kuliko kuishi maisha haya ya uccm
 
chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm

Kwahiyo hapo umefikiria mpaka mwisho wa uwezo wako wa kufikiri na ukaona hili ndilo la kuandika hapa,note that,Do not be sily in sily thinkers because at last you will be completely IDIOT among ------!
 
Kwa ushahidi huu wa mauaji na utesaji unaoasisiwa na serikali, Rais yuko uchi na sijui kwanini asijiuzulu tuu mwenyewe maana ni kama kutembea barabarani uchi na watoto wakikuonyesha unawapuuza. Kwenye sakata la Richmond alinusurika kwa kumtoa kafara Waziri Mkuu. Je sasa atamtoa nani kafara wakati hadi wanafamilia yake wanahusika na mauaji. Aibu tupu.
 
Chadema ni chama cha magaidi na watesaji, speech ya mwigulu bungeni imewachanganya sasa wanaweweseka kila siku wanakuja na tamko jipya
 

"Naye Shaali ndiye aliyekutana na afisa wetu wa usalama, Ahmed Sabula na mwenzake, Machi 29 mwaka huu katika hoteli ya See Cliff jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo kati ya Sabula, kijana wetu wa usalama na afisa usalama wa serikali Bw. Shaali alitaka Sabula akubali kutumika kwa kutoa taarifa za vikao vya chama, kuwasilisha kwake nyaraka za kamati kuu na kueleza mipango ya chama katika kesi ya Lwakatare."


......TISS hamna kitu wamezidiwa akili na Usalama wa CDM?!! ndio maana nchi inayumba...sasa kama wamewarekodi wapeleke ushahidi pia mahakamani...

"Aidha, kitendo cha Ludovick kuwasiliana Msaky; Ighondo kuwasiliana na Mwagha, Ridhiwani Kikwete kuwasiliana na Ighondo, tena kila baada ya Ighondo kuwasiliana na Ulimboka na Jack Zoka, ni uthibitisho mwingine kuwa genge hili la wahalifu linashirkiana na baadhi ya watu kutaka kuangamiza taifa."

Hivi Riz1 kumbe mpuuzi hivi ndie anae ratibu mauaji na mateso kwa raia!! anadhani UWT ndio kila kitu?..kiama chake kimefika....
 
Sasa hizi mbwembwe zinaondoaje ugaidi wa chama uliokuwa unapangwa na lwaka? Aisee maando umegota, na umekigotesha chama
 
zitto metoa rai.mbona mnamzingua kijana wawatu sababu ya kutaka kugombea urais tu
 
Mm Bana biga uwa Chadema CHAMA langu...
Bora nipigie jiwe kura yangu lakini Sio CCM..
Maisha.
 
nakubaliana na wewe na nadhani hii michezo ndo imeifanya ccm waamini watadumu milele
 
Lengo la chadema kutoa haya matamko ni kwamba wanataka wajibiwe na serikali au CCM halafu mwanaharakati wao mwanakijiji na wenzake weaendeshe haraki za kutaka kesi ifutwe.

Wote mlishuhudia Mbowe alivyoenda kuungumzia kesi Bungeni halafu mwanakijiji very quickly akaanzisha harakati za kutka kesi ifutwe. Kwa sababu harakati zile hazijafanikiwa sasa wameamua kuja nje ya Bunge ili kusiwe na kinga ya Bunge.
 

hakuna kitu hapa magaidi wanaweweseka tu. Hizi mbwembwe hazibatilishi video ya lwakatare.
 

Kwa utaratibu wa makapuni ya simu yote namba yoyote iliyosajiliwa isipotumika kwa muda fulani taarifa zake hufutwa na kutengenezwa SIM card mpya yenye namba ileile. Mfano vodacom usipoitumia sim card yako miezi sita tu wanafuta taarifa zako na kuitengeneza nyingine na kuipeleka sokoni. Maswali ya kujiuliza ni

a) kama SIM card mpya ilitengenezwa na kupelekwa sokoni, je aliyeinunua ni bwana Zoka?
b) Kama ni zoka aliinunua kwanini isajiliwe kwa jina lako na siyo zoka?
c) kwanini umeendelea kuitumia au kuiacha namba hii kwenye business card yako mpaka leo wakati huitumii?
d) Kwa kuwa miezi 3 imepita tangu taarifa zako zifutwe na vodacom na hivyo sim card yako kutengenezwa na kupelekwa sokoni kwanini bado unaonekana mmiliki halili wa hiyo sim card?
 

Asante mkuu kwa kuweka bayana hili suala la namba.

Binafsi naona CHADEMA, kwa mara nyingine tena wamefanya "wrong move".

Matamko na press conference zimezidi mpaka mwelekeo haueleweki. Kila kiongozi anazungumza anavyojua yeye. Ni aibu kwa chama kinachojinasibu kuwa makini.

Ulitueleza hapa kuwa mmekubaliana kuwa katika suala la kesi ya Lwakatare mzungumzaji kwa niaba ya chama atakuwa ni Mh. Lissu peke yake. Lakini haijapita hata wiki Marando naye anakuja na vioja vyake.

Umakini wa taasisi yoyote ujidhihirisha wakati wa majaribu. Katika hili sio siri Chadema mumefeli.

Kwenye ukweli lazima tuelezane wazi wazi.

Suala lipo mahakmani, kama mna ushahidi substantial si muupeleke mahakamani.

Au ndo chama kinatafuta public sympathy?
 
uko sawa make watu wazima kama malando wanakaa na kutunga uongo mtu kama zito kapigania chadema maishayake yote halafu leo anaonekana msaliti kweli watu hawana shukuruni.

Hivi sio huyu Zitto alokwambia ufanye ya chama chako mkuu? Keshakukana huna haki ya kuongelea yakwake na chama chake. Hivi bado unataka agombee urais au umeshabadili upepo
 
Last edited by a moderator:

Red ya kwanza, unauhakika gani kuwa Jack Zocka hatumii hiyo namba??
Red ya pili, unakiri kuwa kuna mipango ya kukihusisha chama chako na ugaidi..(sasa kwanini unasema kwa uhakika kuwa Zocka hatumii iliyokuwa namba yako?
Red ya tatu, una sema Msaky ni victim..unauhakika gani ilhali umeishasema kuwa kuna njama za kukihusisha chama chako na ugaidi na njama hizo hazitafanikiwa? kwanini unamuamini kiasi hicho?

Swali la mwisho..kwanini uliacha kuitumia namba yako hiyo?
 
Wazubutu kufanya hivyo waone nadhani siku hiyo itashuhudia mengi watu tutakufa ila ninaamini wajukuu zetu watapata maisha mazuri. Heri kifo kuliko kuishi maisha haya ya uccm
Hehe, sema mimi natamani watakapotaka kuigiza kupinduliwa kwa kikwete, wageukane wenyewe kwa wenyewe halafu wampindue kikweli kweli.
 
Siku zote hua nasema fisadi anajua kujilinda jamani ccm wezi!! Zile billion 619!!hazieleweki!!nimeamini kwa nini baadhi ya nchi hua zina waasi mwanzo hua hivi hivi!!ccm kama hamtaki kutoka madarakani tendeni haki acheni wizi!! Tanzania inanuka rushwa!! Wizi wa mali ya umma kubambikiziwa kesi!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…