Leo nimemskiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na amesisitiza Ujenzi wa Vituo vya Afya katika Tarafa 207 utatumia utaratibu wa FORCE ACCOUNT sio KANDARASI. Na ameagiza watumie Mafundi Ujenzi waliopo ktk eneo husika ili kutoa ajira na kuchochea mzunguko wa fedha kwa wananchi kwenye maeneo ambayo mradi unatekelezwa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI pia amesema Wizara imepokea Sh 22.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya 90. Fedha hizo zimetokana na tozo za miamala ya simu.
TAMISEMI kupokes Shiling. Bil 7 za Tozo ya Mawasiliano kukamilisha maboma ya madarasa 560
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa @ortamisemitz wiki ya tarehe 23-29/08/2021 itapokea kiasi cha shilingi bilioni 7 kitakamilisha maboma ya madarasa 560 ili kupunguza uhaba wa madarasa na maandalizi ya kuwapokea wananfunzi wa kidato cha kwanza wa Elimu bila ada mwaka 2022.
Kutokana na utekelezaji wa Sera ya elimu msingi bila ada kutakuwepo na ongezeko la wananfunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2022 na kwa mujibu wa takwimu zilizopo kwa sasa wanafunzi wanaotarajiwa kumaliza darasa la saba mwaka 2021 ni takribani wanafunzi 1,129,129 .
Kati ya hao wanaotegemewa kufaulu ni 944,855 sawa na asilimia 84; Ongezeko ni wanafunzi 522,452 ukilinganisha na wanaomaliza Kidato cha nne mwaka 2021 ambao ni 422,403.
kutokana na ongezeko la wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2022 kunauhitaji wa madarasa 10,447, hivyo fedha ambazo wananchi wamechangia kupitia tozo za mawasiliano zitasaidia ujenzi wa madarasa hayo.
Ujenzi wa Darasa moja hugharimu kiasi cha shilingi milioni 20 lakini lakini maeneo mengi wananchi wamejitoa na kuchangia, wameanza ujenzi madarasa na kuyafikisha kwenye lenta kwa hiyo Serikali itapeleka kiasi cha shilingi milioni 12.5 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa darasa moja , hivyo shilingi bilioni 7 zitakamilisha takribani madarasa 560.
Kwa muda mrefu Wizara hii ilikosa Waziri Mchapakazi aina ya Ummy Mwalimu ambaye kwa muda mfupi amefanya ziara mikoa mbalimbali, vijijini, amekutana na changamoto, amezitolea maelekezo na sasa matokeo yanaanza kuonekana. Ummy Mwalimu anastahili Pongezi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI pia amesema Wizara imepokea Sh 22.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya 90. Fedha hizo zimetokana na tozo za miamala ya simu.
TAMISEMI kupokes Shiling. Bil 7 za Tozo ya Mawasiliano kukamilisha maboma ya madarasa 560
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa @ortamisemitz wiki ya tarehe 23-29/08/2021 itapokea kiasi cha shilingi bilioni 7 kitakamilisha maboma ya madarasa 560 ili kupunguza uhaba wa madarasa na maandalizi ya kuwapokea wananfunzi wa kidato cha kwanza wa Elimu bila ada mwaka 2022.
Kutokana na utekelezaji wa Sera ya elimu msingi bila ada kutakuwepo na ongezeko la wananfunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2022 na kwa mujibu wa takwimu zilizopo kwa sasa wanafunzi wanaotarajiwa kumaliza darasa la saba mwaka 2021 ni takribani wanafunzi 1,129,129 .
Kati ya hao wanaotegemewa kufaulu ni 944,855 sawa na asilimia 84; Ongezeko ni wanafunzi 522,452 ukilinganisha na wanaomaliza Kidato cha nne mwaka 2021 ambao ni 422,403.
kutokana na ongezeko la wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa mwaka 2022 kunauhitaji wa madarasa 10,447, hivyo fedha ambazo wananchi wamechangia kupitia tozo za mawasiliano zitasaidia ujenzi wa madarasa hayo.
Ujenzi wa Darasa moja hugharimu kiasi cha shilingi milioni 20 lakini lakini maeneo mengi wananchi wamejitoa na kuchangia, wameanza ujenzi madarasa na kuyafikisha kwenye lenta kwa hiyo Serikali itapeleka kiasi cha shilingi milioni 12.5 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa darasa moja , hivyo shilingi bilioni 7 zitakamilisha takribani madarasa 560.
Kwa muda mrefu Wizara hii ilikosa Waziri Mchapakazi aina ya Ummy Mwalimu ambaye kwa muda mfupi amefanya ziara mikoa mbalimbali, vijijini, amekutana na changamoto, amezitolea maelekezo na sasa matokeo yanaanza kuonekana. Ummy Mwalimu anastahili Pongezi.