Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Leo nimemwona usiku huu Tambwe Hizza katika taarifa ya habari Channel 10 akikanusha statement ya Dr Slaa kwamba kuna njama zinazosukwa na taasisi za dola kukihujumu Chadema katika uchaguzi ili kukinyima ushindi.
Huyu Tambwe Hizza tangu lini kawa msemaji wa serikali? Tuhuma za Dr Slaa zilielekezwa kwa serikali siyo CCM.
Huyu Tambwe Hizza tangu lini kawa msemaji wa serikali? Tuhuma za Dr Slaa zilielekezwa kwa serikali siyo CCM.