Tambiko, kafara la njiapanda

Tambiko, kafara la njiapanda

1912093_1401845913408649_417089005_o.jpg
 
Kuna kitu kimoja tu hakichukiwi na binadamu wote!

Kwanini njiapanda?

Hapa unaweza kupata picha sasa kwanini hawa manabii na mitume wa kileo hupenda mno kuzitumia/kuzitaja hizo point saba kwenye mahubiri yao ni kwakuwa hawamtumikii Mungu bali hutumikia nguvu za giza
Uamuzi wa kutumia mojawapo wa njiapanda hizo hutegemea na kile ukitakacho na njia aitumiayo mganga kufanikisha zoezi lake. Kwa hiyo njiapanda ione vilevile ina siri kubwa ndani yake
.

mshana jr sijakusoma vema hapo kwa mitume na manabii wa kileo kutumia njiapanda. Je hawa jamaa wanazitumiaje? Na jr zinahusianaje na Mungu kiasi waumini wao wasitambue wanapigishwa kwata la ushirikina?
 
mshana jr sijakusoma vema hapo kwa mitume na manabii wa kileo kutumia njiapanda. Je hawa jamaa wanazitumiaje? Na jr zinahusianaje na Mungu kiasi waumini wao wasitambue wanapigishwa kwata la ushirikina?
Sehemu kubwa ya mahubiri yao hawamhubiri Mungu bali pesa vitu na mafanikio.. Ni Mungu pekee ndio yuko kwenye central axis ya ulimwengu vingine vyote vimrgawanyika
Jinisi ya kuwatambua hawa ni matendo yao, angalia kashfa zao ulafi wao ubinafsi na kushindana kwenye utajiri na vitu vya kidunia kama magari ndege yatch nknk
 
MLETA POST # 11,WEKA SAWA HAPO KWENYE BOLDED
"Wakati mwingine wife ananiuliza mbona wanakuvunjia Nazi vibaya mke wangu"????
Nani mke kati yako na wife?
 
MLETA MADA WEKA SAWA HAPO KWENYE BOLDED
"Wakati mwingine wife ananiuliza mbona wanakuvunjia Nazi vibaya mke wangu"????
Nani mke kati yako na wife?
Hii quote ni yangu? Iko sehemu gani? I mean post no ngapi?
 
Back
Top Bottom