Tambiko, kafara la njiapanda

Tambiko, kafara la njiapanda

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
370,964
Reaction score
858,949
Kuna kitu kimoja tu hakichukiwi na binadamu wote! Mafanikio katika maisha, kuna wakati mambo hayaendi na mikwamo na vizingiti kutokea. Kama hujui kanuni za maisha shida huanzia hapo.

Watu wa jinsi hiyo hutafuta kufanikiwa ama kujikwamua kwa kwenda kutafuta msaada kwa waganga na masangoma, kwenye makala zilizotangulia tumeona makafara na matambiko ya damu, sasa kuna hili la njiapanda.

Kwanini njiapanda?
Mambo yote ya kishirikina huambatana na roho moja kwa moja na roho ziko maeneo saba ya dunia ardhini, majini, angani, kusini, kaskazini,magharibi na mashariki.

Kuna aina mbili za njiapanda ya njia tatu ambayo ndio halisi hii viapo na manuizi yake huhusika na roho za majini ardhini na angani.

Aina ya pili ni ile ya njia nne ambayo huwakilisha pande nne za dunia kaskazini kusini mashariki na magharibi

Sababu kubwa ya kuzitumia hizo njiapanda ni kwakuwa hapo ndio inakuwa kama makutano makuu ya point zote za ulimwengu (hii yaweza kuwa ngumu kidogo kueleweka) lakini mara nyingi mganga anapofanya yake hualika roho na mapepo yote kutoka pande hizo na mwishowe hukupa dawa husika ukamalizie njiapanda

Hapa unaweza kupata picha sasa kwanini hawa manabii na mitume wa kileo hupenda mno kuzitumia/kuzitaja hizo point saba kwenye mahubiri yao ni kwakuwa hawamtumikii Mungu bali hutumikia nguvu za giza

Uamuzi wa kutumia mojawapo wa njiapanda hizo hutegemea na kile ukitakacho na njia aitumiayo mganga kufanikisha zoezi lake. Kwa hiyo njiapanda ione vilevile ina siri kubwa ndani yake
.
 
Mhhh... Mbona hueleweki ni kama vile na wewe upo njia panda..
 
Kuna kitu kimoja tu hakichukiwi na binadamu wote! mafanikio katika maisha, kuna wakati mambo hayaendi na mikwamo na vizingiti kutokea... kama hujui kanuni za maisha shida huanzia hapo

Watu wa jinsi hiyo hutafuta kufanikiwa ama kujikwamua kwa kwenda kutafuta msaada kwa waganga na masangoma, kwenye makala zilizotangulia tumeona makafara na matambiko ya damu, sasa kuna hili la njiapanda

Kwanini njiapanda?
Mambo yote ya kishirikina huambatana na roho moja kwa moja na roho ziko maeneo saba ya dunia ardhini, majini, angani, kusini, kaskazini,magharibi na mashariki
Kuna aina mbili za njiapanda ya njia tatu ambayo ndio halisi hii viapo na manuizi yake huhusika na roho za majini ardhini na angani
Aina ya pili ni ile ya njia nne ambayo huwakilisha pande nne za dunia kaskazini kusini mashariki na magharibi

Sababu kubwa ya kuzitumia hizo njiapanda ni kwakuwa hapo ndio inakuwa kama makutano makuu ya point zote za ulimwengu (hii yaweza kuwa ngumu kidogo kueleweka)lakini mara nyingi mganga anapofanya yake hualika roho na mapepo yote kutoka pande hizo na mwishowe hukupa dawa husika ukamalizie njiapanda

Hapa unaweza kupata picha sasa kwanini hawa manabii na mitume wa kileo hupenda mno kuzitumia/kuzitaja hizo point saba kwenye mahubiri yao ni kwakuwa hawamtumikii Mungu bali hutumikia nguvu za giza

Uamuzi wa kutumia mojawapo wa njiapanda hizo hutegemea na kile ukitakacho na njia aitumiayo mganga kufanikisha zoezi lake. Kwahiyo njiapanda ione vilevile ina siri kubwa ndani yake

kwahiyo baada ya maelezo yote haya ya kishirikina unataka kutueleza nini?
 
Kwa hiyo wanapoweka njia panda maana yake kazi inaishia hapo? Maana nimeyapiga sana mateke hayo mavyungu
 
Kwa hiyo wanapoweka njia panda maana yake kazi inaishia hapo? Maana nimeyapiga sana mateke hayo mavyungu

Yale hayahusiani na wengine bali mhusika mkuu, labda awe tu amenuizia kuwalenga wengine, kile kitendo cha kupasua mfano nazi ndio fainali ya mchakato mzima wa hiyo 'tiba'
 
kuna kitu kimoja tu hakichukiwi na binadamu wote! Mafanikio katika maisha, kuna wakati mambo hayaendi na mikwamo na vizingiti kutokea... Kama hujui kanuni za maisha shida huanzia hapo

watu wa jinsi hiyo hutafuta kufanikiwa ama kujikwamua kwa kwenda kutafuta msaada kwa waganga na masangoma, kwenye makala zilizotangulia tumeona makafara na matambiko ya damu, sasa kuna hili la njiapanda

kwanini njiapanda?
Mambo yote ya kishirikina huambatana na roho moja kwa moja na roho ziko maeneo saba ya dunia ardhini, majini, angani, kusini, kaskazini,magharibi na mashariki
kuna aina mbili za njiapanda ya njia tatu ambayo ndio halisi hii viapo na manuizi yake huhusika na roho za majini ardhini na angani
aina ya pili ni ile ya njia nne ambayo huwakilisha pande nne za dunia kaskazini kusini mashariki na magharibi

sababu kubwa ya kuzitumia hizo njiapanda ni kwakuwa hapo ndio inakuwa kama makutano makuu ya point zote za ulimwengu (hii yaweza kuwa ngumu kidogo kueleweka)lakini mara nyingi mganga anapofanya yake hualika roho na mapepo yote kutoka pande hizo na mwishowe hukupa dawa husika ukamalizie njiapanda

hapa unaweza kupata picha sasa kwanini hawa manabii na mitume wa kileo hupenda mno kuzitumia/kuzitaja hizo point saba kwenye mahubiri yao ni kwakuwa hawamtumikii mungu bali hutumikia nguvu za giza

uamuzi wa kutumia mojawapo wa njiapanda hizo hutegemea na kile ukitakacho na njia aitumiayo mganga kufanikisha zoezi lake. Kwahiyo njiapanda ione vilevile ina siri kubwa ndani yake
njia panda ni aina ya madhabahu.
 
Me nimekula sana nazizao hao wachawi mpaka kishavu kimenitoka,wakati flani wife alikuwa ananiuliza hiv kwanini wanakuvunjia nazi vibaya mkewangu?nikamjibu ndivyo nitakavyo mimi hivyo kumbe nilikuwa nakamata za njiapanda,na kunasiku nilikula pilau jingi balaa ka wiki hivi,ilikuwa hiv nilienda kuosha gari nikakuta wahindi eti wana peperusha majivu na mipirau mingi balaa wakaiweka pembezoni mwa mto na mishumaa kibao,walivyo sepa tu nikajifungashia sina muda,mpaka wa leo mzima me na familiayangu na huwa naenda saana pale nione kama watapeperusha jivu nipone ila madhani bado,ndo hivyo dunia hii akili kumkichwa,amini yesu yupo so mizim na majin hayana nguvu
 
Me nimekula sana nazizao hao wachawi mpaka kishavu kimenitoka,wakati flani wife alikuwa ananiuliza hiv kwanini wanakuvunjia nazi vibaya mkewangu?nikamjibu ndivyo nitakavyo mimi hivyo kumbe nilikuwa nakamata za njiapanda,na kunasiku nilikula pilau jingi balaa ka wiki hivi,ilikuwa hiv nilienda kuosha gari nikakuta wahindi eti wana peperusha majivu na mipirau mingi balaa wakaiweka pembezoni mwa mto na mishumaa kibao,walivyo sepa tu nikajifungashia sina muda,mpaka wa leo mzima me na familiayangu na huwa naenda saana pale nione kama watapeperusha jivu nipone ila madhani bado,ndo hivyo dunia hii akili kumkichwa,amini yesu yupo so mizim na majin hayana nguvu

Hahahahaaaaaaa hahahahaaaaaaa loh
 
Back
Top Bottom