Tamasha la Franco Luambo Luanzo Makiadi Grand Master( Grande Maitre) Dar es Salaam- Early 1970's

Bila shaka mkuu alimiliki ndege japo sina jina la aina aliyomiliki. Kwa sababu Franco alikuwa tajiri haswa. Katika miaka ya 1980 utajiri wake ulikadiliwa kuzidi dola za marekani milioni 3! Ni hatari mkuu. Jamaa tangu miaka ya 1970 alikuwa anawalipa wanamuziki kupitia benki siyo mambo ya pesa mkononi. Alikuwa na uzito wa karibu 140kg! Alikuwa anakula mbuzi mzima alone
fame with mass.
 
Ajabu ni kwamba baada ya kujua atakufa alitengeneza nyimbo nzuri sana, mfano wimbo Kama Sadou... Au Muongo na Murozi alioimba na Samagwana...

Kuna watu duniani Mungu kawaleta kwa Makusudi kabisa.
Ina maana wewe hujui kwamba utakufa?
 
Bila shaka mkuu alimiliki ndege japo sina jina la aina aliyomiliki. Kwa sababu Franco alikuwa tajiri haswa. Katika miaka ya 1980 utajiri wake ulikadiliwa kuzidi dola za marekani milioni 3! Ni hatari mkuu. Jamaa tangu miaka ya 1970 alikuwa anawalipa wanamuziki kupitia benki siyo mambo ya pesa mkononi. Alikuwa na uzito wa karibu 140kg! Alikuwa anakula mbuzi mzima alone
Asante kwa ufafanuzi mahiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom