mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
fame with mass.Bila shaka mkuu alimiliki ndege japo sina jina la aina aliyomiliki. Kwa sababu Franco alikuwa tajiri haswa. Katika miaka ya 1980 utajiri wake ulikadiliwa kuzidi dola za marekani milioni 3! Ni hatari mkuu. Jamaa tangu miaka ya 1970 alikuwa anawalipa wanamuziki kupitia benki siyo mambo ya pesa mkononi. Alikuwa na uzito wa karibu 140kg! Alikuwa anakula mbuzi mzima alone