BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Mtu kasema anaupenda huo wimbo nikautafuta utube na kumuwekea.
Ndo manini haya?
Ndo manini haya?
Umekuwa mtoto mzuri Leo...sio ule utopolo wako wa prime minister hahahaaMtu kasema anaupenda huo wimbo nikautafuta utube na kumuwekea.
Umekuwa mtoto mzuri Leo...sio ule utopolo wako wa prime minister hahahaa
Heheehe...mtoto wa Atlanta nimekuchia vumbi tayariMie na utopolo wa prime minister wapi na wapi?
Heheehe...mtoto wa Atlanta nimekuchia vumbi tayari
Hivi viswahili tuachie sisi
Taratibu mdau bado hujaelewa lengo tuMie na Atlanta wapi na wapi? Acha kupiga ramli zisizo kichwa wala miguu.
Taratibu mdau bado hujaelewa lengo tu
Hahahaha safi nimekutoa povuMie na Atlanta wapi na wapi? Acha kupiga ramli zisizo kichwa wala miguu.
Uko sahihi.. ule Ukimwi ulikua mkali sana, siku chache kabla ya kifo chake Franco anapanda jukwaani kufanya show, amekaa kwenye kiti hata kusimama hawezi, anajaribu kupiga gitaa ya ule wimbo wa Chacun pour soi anahangaika sana Melody inakataa badae Inakubali ili sio Kama ile ya kawaida!Franco alikufa kwa UKIMWI wakati huo ndio ugonjwa bado mpya
Ajabu ni kwamba baada ya kujua atakufa alitengeneza nyimbo nzuri sana, mfano wimbo Kama Sadou... Au Muongo na Murozi alioimba na Samagwana...Attention na SIDA , baada ya franco kupimwa ufaransa akaelezwa anaukimwi na hatopona akatoa kibao cha tahadhari ya gonjwa baya ambalo baadae lilimchukua,
KIMPA KISANGAMENI pia ni ngoma nayoipenda sana hapo alihadithia watu wabaya waogopwe sana maana hawana huruma kabisa.
We ndo huelewi chochote sasa...Taratibu mdau bado hujaelewa lengo tu
Hahahaha safi nimekutoa povu
mzee huwa una stress muda woteKukuonyesha hunijui si kutoa povu. Acha kupiga ramli kutaka kuonyesha unanifahamu. Sijui hiyo Atlanta uliiokota wapi!!!
Mkuu iko hivi. Tabu Ley alizaliwa mwaka 1937, àlianza muziki wa bendi mwaka 1956 na bendi ya African Jazz. Bendi yenyewe ilia zishwa mwaka 1953. Mastaa wa bendi hiyo walikuwa Joseph Kabasele(Grand Kale), Tabu Ley, Dr Nico Kasanda(mpiga solo) ...kwa upande wa Franco Makiadi alizaliwa 1938, na àlianza kutoa wimbo wa Kwanza akiwa na miaka 13 wimbo uloitwa Bolingo na Ngai Beatrice (mpenzi wangu Beatrice)...akiwa na miaka 15 akawa anarekodi kwenye studio ya Loningisa. Mwaka 1956 yeye na rafiki zake akiwamo Alex Mosekiwa( mpuliza sax) walianzisha bendi. Walfanya kikao cha kuchagua jina wakiwa kwenye bar ya jamaa aitwaye Oscar Kashama. Baada ya masaa mengi mwenye bar akawashauri Waite bendi yao OK Jazz...! lakini miaka michache baadae wakabadili jina na kuita TP OK JAZZ. kuhusu kuwa bendi moja haijawahi kutokea! Lakini wamewahi kufanya kazi ya pamoja na kutoa album ya pamoja mwanzoni mwa miaka ya 80. nyimbo inaitwa Ngungi ni moja ya kazi walipiga kolabo pamoja. TP OK JAZZ katika uhai wa Franco walitoa albums 150! kwa ujumla Franco Ni mwanamuziki mkubwa kuliko Tabu Ley. Ingawa Tabu Ley alikuwa mwimbaji mzuri sana!Hivi francoo na Tabuley Nani alianza mziki kati ya hawa wawili
Je pia walikuwa kund moja la TP OK JAZZ au kila mtu alikuwa na kundi lake Mgibeon
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kwamba Luambo Makiyad Franco alimiliki ndege aina ya Boeing 737?