Tamaduni zetu zinasemaje, matendo haya ni sahihi kufanyika TZ?








Mimi katika mtazamo wangu tamaduni kama hizi, watoto wa watu kuwaweka nusu uchi, wanaoangalia ni wananume siuafiki, sielewi ni ushamba umenizidi au ni ulimbukeni. nisaidieni
ukiona mtu anakula vitu vya jalalani usihangaike kujua utimamu wa akili yake......heheeeeee!
 




JW01-1728.jpg


Haya mjadala uendelee,

tuone tumetoka wapi,tumepitia wapi, tuko wapi, na tunaenda wapi,

Let mjadala uwe wa huru na kutoa some facts.

-Did some men attended that show? why? who encauraged them to wear like that? is it money? culture or?

-where these ladies are coming from? from the moon, Venus, USA?

-Arent they wapogoro, wanyakyusa, wadigo, wasukumu etc?

-which religion are they believing in? Is not Muslim and Christians?

-where are their parents?

-Do this kind of clothes only found in this occasions? we dont see them in streets?

-Who are trying to blame here, is it culture? government? families? religion? foreign countries? globalisation? etc?

-Is it not too late to discuss this now? if we want to ban these maonyesho, will it be right?

-Who to ban these shows??

-How are you living in your homes, what kind of clothes that your daughters, sisters, girlfriends, wife are wearing?
 
sioni tatizo... kama sikosei hawa wamejikava sana tu tukiangalia just in the fifties au tukienda village tunakuta akina mama matiti nje hadi leo... hata kule karagwe nimeona achilia mbalikiziba
 




JW01-1728.jpg

watu wanaongelea miaka ya 50 wakati hawa tunaowaona kwenye picha sio miaka ya 50 wala mwaka juzi, hawa ni mwaka huu ukienda Namibia unakuta Ngoma inakatwa namna hiyo watu wapo maziwa wazi. Huu ndio utamaduni na mila ya mwafrika.
 
...hamna tatizo hapo. Hayo ni mashindano ya urembo, tunaangalia mviringiko wa maumbile bana, ndipo tujue nani zaidi. Sasa nyie mnataka wavae baibui, ebo!! After all, ni watu wazima hao, na kila mmoja anafurahia anachofanya hapo.
 
Hiyo ni fahari ya majicho haifilisi duka na kadiri muda unavyopita na wahafidhina kupungua tutakuwa tushawafikia wazungu pengine kuwazidi maana twaenda kasi mno kuiga mambo yao ya kibwege mambo yenye akili hatuigi kwa kasi ya kutosha. Utupu utupu kolea NGUVU ZA KIUME KWISHNEE. Tutafika tu
 
Sidhani kama watu kuvaa nguo kidogo ndio kunasababisha kuporomoka kwa maadili na kuongeza mihemko ya kingono, mbona wakati wa zamani wakati mababu na mabibi zetu wakiwa wanavaa nguo kidogo zaidi wengine hata kwenda uchi kabisa ndio inasemekana maadili yalikuwa juu zaidi? hakukuwa na ngono nje ya ndoa, wala mimba zisizopangwa. Tusisingizie mashindano kama haya after all watu wangapi wanafika huko?
 

Attachments

  • misterious_himba_woman_framed2.jpg
    misterious_himba_woman_framed2.jpg
    68 KB · Views: 165
  • 705_21.jpg
    705_21.jpg
    54.1 KB · Views: 147
  • 33893995_2271087.jpg
    33893995_2271087.jpg
    99.3 KB · Views: 155
  • 33894428_2271057.jpg
    33894428_2271057.jpg
    84 KB · Views: 150
Sidhani kama watu kuvaa nguo kidogo ndio kunasababisha kuporomoka kwa maadili na kuongeza mihemko ya kingono, mbona wakati wa zamani wakati mababu na mabibi zetu wakiwa wanavaa nguo kidogo zaidi wengine hata kwenda uchi kabisa ndio inasemekana maadili yalikuwa juu zaidi? hakukuwa na ngono nje ya ndoa, wala mimba zisizopangwa. Tusisingizie mashindano kama haya after all watu wangapi wanafika huko?

Mkuu hao watu wa zamani walikuwa wanaishi hivyo katika jamii moja kabila moja na kuzoeana, unamtambua yule mama fulani, shangazi, n.k

Pia jamii ya binadamu inakua kimaendeleao, zamani walikuw wanavaa vibwaya (unaficha mbele na nyuma tu )

wazungu nao walizipitia hizo hatua miaka mingi sana iliyopita,

Intermingling ya watu, kusafiri, kukua kwa maendeleo imetufanya tuwe katika hali ya KUTOFAHAMIANA , kama zamani

Ukimwona mwanamke mtu mzima aliye sawa umri na shangazi yako ameacha matiti au maungo yake nje utamtamani maana haumjui, lakini angekuwa ni shangazi yako ambaye amekulea katika jamii moja tangu utotoni, NA HALI YA kuacha matiti nje mmeizoea tangu utotoni basi haina shida!

Hii ya sasa hivi semeni neno lolote, fanyeni mtakavyoweza, jamii hizi hatujuani, utamaduni tofauti, so wanachofanya ni makosa!!! siyo tu kwa hao pichani, kwanza hao at least wamevaa vizuri,!

Je na mavazi hayo wanaweza kwenda makazini, makanisani, mashuleni n,k?? sio rahisi ila waliokuwa wanaishi na kuvaa nusu uchi hapo zamani walifanya na kuishi hivyo kila mahal!

Ikifikia mtu mwenye akili timamu anasema hizi nguo ni za kanisani na hizi fupi ni za disko au kwenye hizo show, basi anajua kabisa kuwa akivaa nguo fupi ni makosa! watu wa zamani hawakuwa na option hizo!

Mmomnyoko wa maadili unachangiwa na vitu vingi, kuvaa nguo fupi hakusababishi mmonyoko wa maadili, kuvaa nguo fupitu ndio mmomonyoko wa maadili wenyewe! chanzo kiko nyuma ya hapo!

cheers
 
Hii ya sasa hivi semeni neno lolote, fanyeni mtakavyoweza, jamii hizi hatujuani, utamaduni tofauti, so wanachofanya ni makosa!!! siyo tu kwa hao pichani, kwanza hao at least wamevaa vizuri,!

Hapa naomba useme ni matazamo wako.

Je na mavazi hayo wanaweza kwenda makazini, makanisani, mashuleni n,k?? sio rahisi ila waliokuwa wanaishi na kuvaa nusu uchi hapo zamani walifanya na kuishi hivyo kila mahal!

Kwani wewe unaenda michezoni na nguoulizovaa kwenda kanisani?

Ikifikia mtu mwenye akili timamu anasema hizi nguo ni za kanisani na hizi fupi ni za disko au kwenye hizo show, basi anajua kabisa kuwa akivaa nguo fupi ni makosa! watu wa zamani hawakuwa na option hizo!

Kwenye michezo watu hawavai nguo fupi? nyumbani watu hawavai nguo fupi? joto la bongo wewe unavaa nini ukiwa nyumbani?

Mmomnyoko wa maadili unachangiwa na vitu vingi, kuvaa nguo fupi hakusababishi mmonyoko wa maadili, kuvaa nguo fupitu ndio mmomonyoko wa maadili wenyewe! chanzo kiko nyuma ya hapo!

Vitaje
cheers
mkuu naona misimamo yako huwa wakati mwingine imekaa kikoloni hivi, you dont want to think nje ya box, na ukiambiwa unakuwa mkali coz umejifungia ndani ya box na funguo umetupa nje.
 
Sidhani kama watu kuvaa nguo kidogo ndio kunasababisha kuporomoka kwa maadili na kuongeza mihemko ya kingono, mbona wakati wa zamani wakati mababu na mabibi zetu wakiwa wanavaa nguo kidogo zaidi wengine hata kwenda uchi kabisa ndio inasemekana maadili yalikuwa juu zaidi? hakukuwa na ngono nje ya ndoa, wala mimba zisizopangwa. Tusisingizie mashindano kama haya after all watu wangapi wanafika huko?
angalia nimekugongea kale kakitu!

I am proud to be a Man, but I love them women.
 
Ama kweli !!!!Kambarage aliweza kuwakantroli Watanganyika, leo wapi ?watu wanakwenda utupu kama ndio kwanza wapo katika wodi ya wazazi .
Mbona kabla ya kuja wazungu watu walikuwa wanatembea nusu uchi au sikuhizi ndo kukiuka maadili nazamani ilikuwa siyo!acheni unafiki wacha dada zetu watafute riziki kwa kutuonyesha urembo wao,
 
Loh! watoto wazuri hawa nashindwa hata nichague yupi niache yupi...hebu weka picha zaidi bana

Mkuu hii biashara kwa sasa haizuiliki. Labda tuanze kuwekeza nguvu kui-regulate ili isiharibu watoto wetu. Hata hivyo kuangalia viumbe adimu kama hivi ni dawa tosha kwa magonjwa ya moyo na pressure. Tuache utani, kuku wadogo ni dawa!!

Hiyo ni fahari ya majicho haifilisi duka na kadiri muda unavyopita na wahafidhina kupungua tutakuwa tushawafikia wazungu pengine kuwazidi maana twaenda kasi mno kuiga mambo yao ya kibwege mambo yenye akili hatuigi kwa kasi ya kutosha. Utupu utupu kolea NGUVU ZA KIUME KWISHNEE. Tutafika tu

Hilo ndilo jambo la msingi. Kadri mwanamume anavyozoea kuangalia utupu wa mwanamke nguvu zake za kiume zinapungua. Kwa hiyo tuangalie jinsi ya kuwazuia watoto wetu ili wasiathirike. Vinginevyo tutaanza kusikia vijana ambao jogoo lazima apepewe zaidi ya masaa 10 ili aweze kuamka na kuwika tena kwa kuchechemea! This is a slow killing poison kwa wanaume ingawa wanadhani inafurahisha kukodolea macho.
 
Mkuu hii biashara kwa sasa haizuiliki. Labda tuanze kuwekeza nguvu kui-regulate ili isiharibu watoto wetu. Hata hivyo kuangalia viumbe adimu kama hivi ni dawa tosha kwa magonjwa ya moyo na pressure. Tuache utani, kuku wadogo ni dawa!!



Hilo ndilo jambo la msingi. Kadri mwanamume anavyozoea kuangalia utupu wa mwanamke nguvu zake za kiume zinapungua. Kwa hiyo tuangalie jinsi ya kuwazuia watoto wetu ili wasiathirike. Vinginevyo tutaanza kusikia vijana ambao jogoo lazima apepewe zaidi ya masaa 10 ili aweze kuamka na kuwika tena kwa kuchechemea! This is a slow killing poison kwa wanaume ingawa wanadhani inafurahisha kukodolea macho.
Kwenye red hapo, naona ni kwa jinsi gani ulivyo liberal!! kula tisa, moja nampelekea mamaa!!!
 
Turudi nyuma na kutizama je ni kweli tamaduni zetu zinaturuhusu? Secondly nimependezwa na hiyo hoja ya kutazama uchi wa mwananmke na mapungufu ya nguvu za kiume. Nitajifunza zaidi kwenye hili na nitakuja na mada yake ili kupata hoja za nguvu zaidi hata na ushuhuda ikibidi
 
Turudi nyuma na kutizama je ni kweli tamaduni zetu zinaturuhusu? Secondly nimependezwa na hiyo hoja ya kutazama uchi wa mwananmke na mapungufu ya nguvu za kiume. Nitajifunza zaidi kwenye hili na nitakuja na mada yake ili kupata hoja za nguvu zaidi hata na ushuhuda ikibidi
Hilo ni miongoni mwa ubaya wa haya mambo, naendelea kuuliza, hivi miss tz ina faida yoyote? je hakuna uwezekano wa kutafuta mrembo kwa njia nyingine?
 
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php

Mbogela picha zako nimeziweka hapa ili iwe rahisi wanaJF kuchangia, lakini kumbuka hapa tunatafuta mira za kitanzania, na hawa sio watanzania. (HII NI NJE YA MADA, HIZI CHUCHU DU!, KWA SISI HATUJAOA BADO TUINGIA MAJARIBUNI NA WAKATI NI KWARESIMA DU!)
 
Turudi nyuma na kutizama je ni kweli tamaduni zetu zinaturuhusu? Secondly nimependezwa na hiyo hoja ya kutazama uchi wa mwananmke na mapungufu ya nguvu za kiume. Nitajifunza zaidi kwenye hili na nitakuja na mada yake ili kupata hoja za nguvu zaidi hata na ushuhuda ikibidi

ICU,

Wala usihangaike sana. Ni kitu cha kawaida kuwa mwili ukiwekwa kwenye pressure fulani unazoea na kuona ni kitu cha kawaida. Mfano mzuri ni pale unapotoka kwenye mwanga mkali na kuingia kwenye chumba chenye mwanga hafifu. Kwa muda mfupi hutaweza kuona vizuri ila baadaye inakuwa kama kawa!
 
Naona kama lingefutwa tu halina maadili yoyote ..mamiss wenyewe siku hizi utulivu zero ...
 
Back
Top Bottom